Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Si ndio hapo mkuu, ovyo kabisa hawa wanaowasemasema mama zetuNa unakuta mtu anaponda halafu nae ni mtoto wa single mama hahahahahahahaha
Hapo sasaNa unakuta mtu anaponda halafu nae ni mtoto wa single mama hahahahahahahaha
Sio kutaadharishwa kwa hivo watu wanatumia maneno makali sana ya kuwapondaHao hawaongelewi vibaya isipokuwa watu wanataadharishwa kuwa ukiamua kuoa single mother basi jiandae na changamoto zake nyingi.
Wanakuja na maneno makali baada ya kuchokonolewa,na kama lengo ni kuwaweka mabinti kwanini mnaanza kuwadis single mother why mabinti wasiwekwe sawa bila kuumiza wengine?Ila haya maneno makali yanakuja baada ya hao single mothers kuja na very defensive argument zenye maneno makali. Wakati mwingine thread zina lengo la kuwaweka sawa mabinti wasije wakajikuta kwenye hali ambayo hawakutegemea.
Tena wengine unakuta kwenye ukoo walioolewa na kuzalia kwenye ndoa hata watatu hawafiki wengi ni single mother ila akija hapa anawadisi sana single mother utafikiri kwenye ukoo wake hawapo kumbe wamejaa tele.Waulize hao wanaoponda kwenye ukoo wao dada zao wote wamezalia ndoani?au kujisifu mtandaoni tu
Waulize hao wanaoponda kwenye ukoo wao dada zao wote wamezalia ndoani?au kujisifu mtandaoni tu
Shangaa na wengi tu wamezaliwa na single mom na maisha yanasonga mbona,,sasa jiulize hao wadada wanaozaa ndugu zao si ni sisi wenyeweUtakuta hata mama ake ni single mom