Wanaume wa Jf : Toa dukuduku lako kwa wadada wa jf Wajirekebishe!

Mimi nawasaidia kwa kuanzia

"Wadada wa jf fungueni pm zenu hizo mnapishana na magari ya mishahara"


Karibuni wanaume mtoe madukuduku yenu wadada watapita hapa kusoma ili wajirekebishe.

Location: Star baber shop Dodoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisemi
 
Asilimia kubwa ya wadada wa JF ni wabaya aisee, wabaya Haswa, mimi ushauri wangu ni huu.. Mkiwa huko mitaani naombeni muwashawishi wadad wazuri wajiunge na hili Jukwaa!

Khan!
Without wig
 
Haki nimecheka.
Nimetamani kujua umetumia muda gani kuandika hii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…