Wanaume wa Jf walivyo!...

Kumbe unadesa jf[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bwahahahaha,
Haya mkuu haina noma...Sasa wapige mkwara wawe wanakulipa maana huwapi nondo bure. Wawe wanakupa walahu kashata na Gahawa za Bure
 
Bwahahahaha,
Haya mkuu haina noma...Sasa wapige mkwara wawe wanakulipa maana huwapi nondo bure. Wawe wanakupa walahu kashata na Gahawa za Bure

Pale ni mara moja moja naenda kuchangamsha genge, hizi shughuli na mitandao ya kijamii unakuta huna muda kabisa wa kukaa na watu vijiweni.

So Mara moja kwa wiki siyo mbaya unafika maeneo kama hivi.
 
pole kwa yaliyokukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…