Wanaume wa Jf walivyo!...

Wanaume wa Jf walivyo!...

Mimmimi wala sio muumini wa chura kivile. Na rangi wala sina issue nayo.
Mimi mdada akikubaliana na mambo ya shehe basi ataenjoy hapa mjini.
Ukikutana na yoyote huko nipigie pande hata kiwanja utahngwa
K mamamayoooo sasa utapigaje hiyo ishu chura hakuna
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] koma kuchungulia status zangu we kaka. Halafu nilikwambia sina rafiki asie na chura. Umeamini eeh. Kwanza birthday yake leo fanya jambo tumpeleke hata Great Wall akale dinner basi.
Wale wachina leo wana package nzuri?
Kama yule mrembo anayapenda yale mambo basi Nitampeleka na naweza nikafanya reservation sasa hivi.but leo nawnda Akemi
 
Naomba kwanza picha ako. Kuna wakaka watatu huku naweza kuwasifia bila hiyana kabisa wakiongozwa na NN.
Ngoja serikali ya mtaa wa mkichwa ikikaa kikao na kutoa maamuzi sahihi ndio utapata mrejesho.
Si unajua tena yule mjumbe anayefanya mambo involuntary anapenda kutibua kikao, sasa nataka nimkalie kooni ili mambo yawe murua kabisa
 
Back
Top Bottom