Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
- #161
Nyooooooookooo. Sitaki dhambi zako zangu mwenyewe zinaanza kunizidi nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyooooooookooo. Sitaki dhambi zako zangu mwenyewe zinaanza kunizidi nguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tupo sura ngumu
Nikusaidie nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisaidie mshipa
Yale mambo hapendi na hafanyi. Kama Akemi itakua poa zaidi maana ofisi yao iko town pia.Wale wachina leo wana package nzuri?
Kama yule mrembo anayapenda yale mambo basi Nitampeleka na naweza nikafanya reservation sasa hivi.but leo nawnda Akemi
Nipo pic ya piliBeee kaka upo picha ya kwanza au ya pili?
Ukweli upo kwa kiasi fulani, hiyo ni teaching material yakeEti mwifwa kweli ni halali,,huyo ni shida na raha aliefanya hivyo
Haya nasuburiaa.Ngoja serikali ya mtaa wa mkichwa ikikaa kikao na kutoa maamuzi sahihi ndio utapata mrejesho.
Si unajua tena yule mjumbe anayefanya mambo involuntary anapenda kutibua kikao, sasa nataka nimkalie kooni ili mambo yawe murua kabisa
Weka tuoneSijaona. Wametusema. Najitolea kuweka picha yangu. Nimechoka sisi kunyanyaswa kuonekana kama bi kidude.
Kukopa sio mbaya ajue na kulipa tu aiseUmeacha kukopa lakini? Mi ile siku ulinikera sana mtu unakopa mpaka papuchi jamani.
Sasa umeanza kutuchanganya labda,Umeacha kukopa lakini? Mi ile siku ulinikera sana mtu unakopa mpaka papuchi jamani.
Basi nasema kweliUkweli upo kwa kiasi fulani, hiyo ni teaching material yake
Ila wewe nikikupiga sound vizuri unaweza ukaelewekaK mamamayoooo sasa utapigaje hiyo ishu chura hakuna
[emoji2][emoji2][emoji2]Nitakunyoaaa, mwache alitibuee
Hata tunamuachia MunguNipo pic ya pili
Chura sinaIla wewe nikikupiga sound vizuri unaweza ukaeleweka
NO THANK YOUView attachment 695313 huyu kaka si alishawah jirusha jamani ila ni handsome jamani asifiwe maana ataniua pm
Akijiua shauri lakoNO THANK YOU
Analipa maneno matupu. Beb ntakupa ntakupa hamna kitu.Kukopa sio mbaya ajue na kulipa tu aise
SawaHaya nasuburiaa.
Mi kama simfahamu mtu hata salaam bei cheeBure salam tu