Wanaume wa Jf walivyo!...

Wanaume wa Jf walivyo!...

Wakiwa wanaandika kwa mbwembwe na kupangilia maneno mzuri,au kutukana au kujigamba na kujitanua vyema,huku wameweka avatar nzuri na za kuvutia ,basi utafikiria unakutana na docta ulimwenguView attachment 695258afe kipa afe beki hakuna humu ndani anaemfikia docta ulimwengu kwa chochote kile,,nasi wanaume wa jf hujiona hivi wakiwa jf na ufake wao


Kiuhalisia ukiongea nao ukaenda kukutana nao unakuta mambo ni hiviView attachment 695259 yaan unajiuliza huyu si anajisemaga kuwa ana muonekano mzuri bla bla nyingi,unaishia kumkimbia ,,halaf anakuja jf kuanzisha uzi anajiwahi nimekutana na mwanamke wa jf anatishaa kweli ahahah kumbe yeye ndio kakimbiwa anatisha kama zombie na mipua yenu mikubwa kama ngumi
kiuhalisia wapo hivi,wachache sana hata ukimuona hushtuki roho wala husisimuki labda Daby anasisimua[emoji6][emoji6] Daby unilipe hii promo hii si ya mchezo mchezo kuna huyu Priceless soul siwezi kumsifia wanawake wa humu mtaniibia ni siri yangu Daby mchukueni tu sio wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Povu ruksa maana nachoma mioyo ya wengi
Nafikiri Suala Sio Sura Nzuri Suala in Pesa ndo Maana Babu Aspirin anapendwa sana na Wabebez,Though in Babu,kuna Wadada Wanapenda Mwanaune Mwenye Sura kama yule jamaa wa Kipindi cha Maimartha wa Jesse....OK Ben Kinyaiya....Hapo Roho yake Kwaku....wengine sisi Tumeweka Picha zetu BT no Body Knows sababu wamekariri vichwani mwao sura waitakayo....na Leo naibadilisha!
 
Nafikiri Suala Sio Sura Nzuri Suala in Pesa ndo Maana Babu Aspirin anapendwa sana na Wabebez,Though in Babu,kuna Wadada Wanapenda Mwanaune Mwenye Sura kama yule jamaa wa Kipindi cha Maimartha wa Jesse....OK Ben Kinyaiya....Hapo Roho yake Kwaku....wengine sisi Tumeweka Picha zetu BT no Body Knows sababu wamekariri vichwani mwao sura waitakayo....na Leo naibadilisha!
Monaco happy valentine to you
 
Mimi ninasura ngumu yaani ngumu wala sijifichagi ndo maana nikaweka dawa za vichaa kwenye avatar yangu yaani ukiniona kunivumilia lzm uwe kama kichaa aliyekunywa dawa ya uchaaa
 
Back
Top Bottom