Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 

Hahahahaha chige bwana, eti Mchuchuma na Liganga....
Hahahahaha yani leo hujanitendea haki kabisa ndugu yako, yaaani nimecheka sana!
 
Dah yaani mi natumia tecno? Hili tusi ni bora unitukane "mwanaume wa Dar mwenye kibamia kisichotahiriwa chenye kasi ya kumwaga kama jogoo chotara wa upareni "
Hahahh usiniambie team Samsung hahaha babu lazima utumie tecno wewe ina maandishi makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…