BADILI TABIA, hapo ulijuaje? Mkuu Buchanan is one of the hottest mods around. lolThe Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
Hahaha nilijua tu.Khaa! Haya mshiki Lizzy ukifanikisha kwa huyo mkware The Finest usisahau kunipigia debe na mimi kakako mpendwa tuliyetoka mbali. Mpaka sasa mi ndo naongoza kwa kupigwa vibuti. Hii si nzuri kwenye ukoo wetu. Tutazaa majambazi tusiposaidiana kwenye hii ishu nyeti ya kibaiolojia.
Hahahaha. . Asprin unataka niwe 'mwanamke kuwadi' aliyekubuhu ehhh? Sijui The Finest atasemaje!!!
BADILI TABIA, hapo ulijuaje? Mkuu Buchanan is one of the hottest mods around. lol
Ni mmoja tu kwa kweli ....
Nikipata muda zaidi nta describe kila kitu kuhusu yeye..
jina na anavyojibu ktk baadhi ya post....zimenipa hisia hizi loh..... Plz usiniambie kama ana'kitambi' nitaliaje...
duh, watu wamepinda na mbaya zaidi wamewapindisha na mods.
Horraaay! (Kuna ka msemo huku kwetu kwamba mficha chi-u ge-nye zamvumbua. lol):gossip:
Hahaha najua kitakochofuata kama kilichomkuta Bishanga chezeiya Lizzy wewe.
haaaa haaaa, really?BADILI TABIA, hapo ulijuaje? Mkuu Buchanan is one of the hottest mods around. lol
Yeahhh. . .mwenyewe niliona hivyo nikanawa mikono. Fynest is a true gentleman. . he won't let you down.