Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Last edited by a moderator:
Hakuna mtu ninaye M miss humu J.f. kama @afrodenzi wacha nakosa raha moyoni mwangu nifanyeje lakini badala yake wewe upo @Lizzy hapajaharibika kitu.
Yeahhh mi ntamsaidia majukumu yake humu kwa muda. . .akorudi namkabidhi!!
 
Obstacle gani tena TF? Mi sina mtu humu ndani,
Nina Uncle yangu ( Kaizer) na anti ( AshaDii)
Wakikubali hao sioni nini kinaziwia tena...
Ukiskia Mwali ndio mimi, na mimi ndio Mwali.
Well well me love this naona kutakuwa hakuna obstacle since Kaizer is my brother and AshaDii is my shemeji
 
Last edited by a moderator:
Hahaha nilijua tu.
 
Last edited by a moderator:
"Hot" in what sense? Mmewahi kukutana macho kwa macho na hao mnaowaita "hot", au kigezo cha kuwaita "hot" ni labda tu perceived popularity, demonstrated intellect, majigambo etc yanayotokana purely na maandishi mnayosoma jukwaani kutokana tu na uwezo mkubwa na umarufu wa watu fulani usiowajua kutumia lugha kimaadishi?
 
Yeahhh. . .mwenyewe niliona hivyo nikanawa mikono. Fynest is a true gentleman. . he won't let you down.

Tangia lini TF akawa m jentoman? Acha kumpoteza mwenzio.
Jentoman bishanga bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…