Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Bora usiseme kitu maana wataniletea nouma................watoto hawa utadhani wamezaliwa siku ya GULIO......!@

Heee heeee heeee!
Habari yako Binafsi baba!!!
Heshima mbele km tai ukizingua tu tunakomaa na wewe!
 
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.

Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me
PAW wakuu.

Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.


 
Last edited by a moderator:
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.

Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me
PAW wakuu.

Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.


wewe ni he tena wa ukweli..... ipo proved mbona PAW
 
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.

Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me
PAW wakuu.

Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.



Ok Ok mzee wa kurekebisha tabia a.k.a mzee wa nidhamu PAW
 
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.

Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me
PAW wakuu.

Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.


Mie nakuslimu tu Mkuu PAW
Siku zote nakusiaga hatimaye leo nimekuona lol!
 
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint

nitarudi simu imeishiwa chaji
Nashukuru kwa kuzingatia vigezo na masharti BADILI TABIA,but uwe makini na huyo Mzee Mtambuzi kwana hatabiriki!!!
 
Last edited by a moderator:
Mie kwa upande wangu mwanaume aliye hot,hoter and hotest na ambaye nina uhakika na uhoti wake si mwingine bali ni my Darling na mume wangu kipenzi Rejao!!
 
Last edited by a moderator:
wewe ni he tena wa ukweli..... ipo proved mbona PAW
LoLz

Ok Ok mzee wa kurekebisha tabia a.k.a mzee wa nidhamu PAW
Salama mkuu. naona vijana mnakimbiza thread hahaha...

Mie nakuslimu tu Mkuu PAW
Siku zote nakusiaga hatimaye leo nimekuona lol!
Always round mkuu wangu.

Ah! I thought hii thread ni ya females zaidi lakini naona all gender wanasaka kitu kimoja HOTMAN...

Nafurahi kusoma comments
 
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.

Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me
PAW wakuu.

Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.



sasa majibu gani hayo, naona sasa unataka ban wewe.
 
Back
Top Bottom