Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Hahahahaaa mi mzima bukheri wa afya na hivi mvua zimeanza basi kilimo mtindo mmoja,

Ama baada ya salam lengo na dhumuni ni kutaka kukujulia hali na pia kukwambia kwamba ulimisiwa sana nami......

M'Jr

Nashukuru kusikia kilimo na mvua kwa wingi....
Je ulipata ile barua yangu niliyotuma tarahe 3.2.1985?
niliiweka kwenye bahasha ya bluu na nyekundu?

Dhumuni la barua hii na ile ni kuku julisha jinsi nilivyo kukumbuka
na ninasubiria sana kwa hamu kurudi nyumbani tukajifiche tena katanini..

karatasi limeisha, wino umegoma kilochobakia ni mapigo yangu ya moyo.
sidhani kama yataendelea kupiga kama sintakuona muda wa karibuni...

PS. hakikisha unachoma barua hii baada ya kusoma
akupendae kwa dhati
Afrodenzi

PS......moyo wangu utajawa nafuraha ntakapo pata majibu yako...
 

M'Jr

Nashukuru kusikia kilimo na mvua kwa wingi....
Je ulipata ile barua yangu niliyotuma tarahe 3.2.1985?
niliiweka kwenye bahasha ya bluu na nyekundu?

Dhumuni la barua hii na ile ni kuku julisha jinsi nilivyo kukumbuka
na ninasubiria sana kwa hamu kurudi nyumbani tukajifiche tena katanini..

karatasi limeisha, wino umegoma kilochobakia ni mapigo yangu ya moyo.
sidhani kama yataendelea kupiga kama sintakuona muda wa karibuni...

PS. hakikisha unachoma barua hii baada ya kusoma
akupendae kwa dhati
Afrodenzi

PS......moyo wangu utajawa nafuraha ntakapo pata majibu yako...
Mpendwa AfroD,

Napenda kukuhakikishia kwamba barua yako ile niliipata japo ilifika imechelewa sana si unakumbuka kwenye barua yangu ya mwisho nilikwambia kwamba yule bwana posta aliyekuwa analeta barua huku kwetu alipata ajali ya baiskeli na kuteguka mguu? Hata hivyo baada ya kupona aliifikisha barua ile.

Usijali moyo wangu, barua zako zote huzitunza kwenye kibubu ninachotumia kutunzia hazina zangu ambacho nimekifunga kwa kufuli lile aliloniachia marehemu babu hivyo hakuna atakayeweza kuziona kamwe. Nazitunza ili kila ninapokukumbuka huzitoa na kuzikumbatia na mara hujihisi nipo na wewe.

Natamani sana ungekuja hivi karibuni maana nimekukumbuka sana ila hapana subiri kwanza kilimo kiishe ndipo uje maana najua huko mjini hamlimi hivyo utapata tabu ukija huku ukalazimishwa kulima. Wala hata hatutaenda tena katanini maana siku hizi nimejenga ka kibanda kangu japo nimekaezeka kwa nyasi lakini kanafaa kwa yale maficho yetu maana katani zile tulizokuwa tunajificha zimekatwa zote nasikia wanataka kuanzisha kilimo kuanza pale.

Kumbuka siku zote uko hapa.....hapa moyoni mwangu mpaka siku ya mwisho wa uhai wangu.

Ndimi nikupendae kwa mwili, roho na kila kilicho cha kwangu

M'Jr
 
Mpendwa AfroD,

Napenda kukuhakikishia kwamba barua yako ile niliipata japo ilifika imechelewa sana si unakumbuka kwenye barua yangu ya mwisho nilikwambia kwamba yule bwana posta aliyekuwa analeta barua huku kwetu alipata ajali ya baiskeli na kuteguka mguu? Hata hivyo baada ya kupona aliifikisha barua ile.

Usijali moyo wangu, barua zako zote huzitunza kwenye kibubu ninachotumia kutunzia hazina zangu ambacho nimekifunga kwa kufuli lile aliloniachia marehemu babu hivyo hakuna atakayeweza kuziona kamwe. Nazitunza ili kila ninapokukumbuka huzitoa na kuzikumbatia na mara hujihisi nipo na wewe.

Natamani sana ungekuja hivi karibuni maana nimekukumbuka sana ila hapana subiri kwanza kilimo kiishe ndipo uje maana najua huko mjini hamlimi hivyo utapata tabu ukija huku ukalazimishwa kulima. Wala hata hatutaenda tena katanini maana siku hizi nimejenga ka kibanda kangu japo nimekaezeka kwa nyasi lakini kanafaa kwa yale maficho yetu maana katani zile tulizokuwa tunajificha zimekatwa zote nasikia wanataka kuanzisha kilimo kuanza pale.

Kumbuka siku zote uko hapa.....hapa moyoni mwangu mpaka siku ya mwisho wa uhai wangu.

Ndimi nikupendae kwa mwili, roho na kila kilicho cha kwangu

M'Jr
M'Jr

Leo ni siku ya furaha sana kuliko siku zangu zote..
nashukuru kwa majibu yako na zaidi nashukuru sana kusikia umepata barua zangu zote..
(Hakikisha hakuna mtu yeyote anaesoma)..

Baada ya shukurani na salamu ningependa kusema ya kwamba nasikitika sana kusikia
katani zimekatwa.. Je tutajificha wapi ukiwa unanisindikiza kuchukua maziwa kule kwa bibi??
mimi bado naogopa.........

pia ningependa kukujulisha nitakuja mkisha anza kuvuna mahindi ya kuchoma. ningependa uje kunipokea
stendi. (lakini simama mbali kidogo mama asikuone) nikisha maliza kuongea na ndugu ntakuja kukuona kwenu.
nimekukumbuka sana. naomba usikonde sana ajili ya kazi ngumu za kilimo. endelea kusukuma ugali kwa mlenda
ipo siku tutakula wali kuku. Kwai mimi na wewe pamoja tutajenga himaya yenye nguvu sana..

Mimi bora niache hapa.
Nina mengi sana ya kusema ila kwa sasa
nikuache utafakari haya machache..

ni mimi nikupendae kama ulivyo.
Afrodenzi.
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmhhhhh!!!!!!! Kumbe?

Kumbe nini, Bishanga na wewe hupitwiiiii......mbona ukiwa unawaongelea kina Lizzy, Michelle, E wa T wengine huwa hatusemi kitu wajameni?! Kuanzia leo nataka uwe unamuangalia shemeji yako asiende nje zaidi ya kwa DA(nimempa ruhusa), sawa????[/QUOTE]
We nae kwa maoroza,kha!
 
teh teh teh. nani yule alisema ma mod ni maroboti?
Erotica, mimi sio robot, na nimemwita for moderation purpose, not more, not less.


Huyu RussianRoulette sio mroboti.
Ni mod wa kusepa kwa sana.
Hivi Paw ni me au ke?
EMT, we ulitakaje? Ulikua unakuja kudai haki yako ya Senior Expert member au ulikua unajuja kuona Mods?


duh, watu wamepinda na mbaya zaidi wamewapindisha na mods.
Kongosho what do you mean? lol... Mods si ni watu vile vile?


LoLz

Salama mkuu. naona vijana mnakimbiza thread hahaha...

Always round mkuu wangu.

Ah! I thought hii thread ni ya females zaidi lakini naona all gender wanasaka kitu kimoja HOTMAN...

Nafurahi kusoma comments
Paw, sijakuskia ukitaja who is hot and who is not. Male members wanataja female, and vice versa (naona hutaki ku-disclose jinsia yako...)
 
Last edited by a moderator:



wakaka, vijana, waume
wote mu unique in your own ways

0024.gif



Sie vibabu tulie tuu sio eh?
So unfair.
 
M'Jr

Leo ni siku ya furaha sana kuliko siku zangu zote..
nashukuru kwa majibu yako na zaidi nashukuru sana kusikia umepata barua zangu zote..
(Hakikisha hakuna mtu yeyote anaesoma)..

Baada ya shukurani na salamu ningependa kusema ya kwamba nasikitika sana kusikia
katani zimekatwa.. Je tutajificha wapi ukiwa unanisindikiza kuchukua maziwa kule kwa bibi??
mimi bado naogopa.........

pia ningependa kukujulisha nitakuja mkisha anza kuvuna mahindi ya kuchoma. ningependa uje kunipokea
stendi. (lakini simama mbali kidogo mama asikuone) nikisha maliza kuongea na ndugu ntakuja kukuona kwenu.
nimekukumbuka sana. naomba usikonde sana ajili ya kazi ngumu za kilimo. endelea kusukuma ugali kwa mlenda
ipo siku tutakula wali kuku. Kwai mimi na wewe pamoja tutajenga himaya yenye nguvu sana..

Mimi bora niache hapa.
Nina mengi sana ya kusema ila kwa sasa
nikuache utafakari haya machache..

ni mimi nikupendae kama ulivyo.
Afrodenzi.
Mpendwa AfroD,

Samahani kwa kuchelewa kujibu barua yako, ile kalamu niliyokuwa natumia iliisha hivyo nikalazimika kusubiri kwanza mpaka kale ka wifi kako karudi kutoka shule ili niazime ya kwake. Hata hivyo napenda kukuhakishia kwamba maneno yako yameniingia kama wewe mwenywe ulivyojaa ndani ya moyo wangu na nitafanyia kazi kila moja ulilonielekeza.

Mwisho wa barua hii fupi napenda kukutakia kila la kheri katika kila ufanyalo na Mungu aendelee kukubariki ili usije nisahau.

Wako wa dhati
M'Jr
 
Kongosho what do you mean? lol... Mods si ni watu vile vile?
heh, kweli ni watu
huwa nasahau sababu ya jina la robot
nawafananisha na Bakugan na Ben 10

RussianRoulette said:
Paw, sijakuskia ukitaja who is hot and who is not. Male members wanataja female, and vice versa (naona hutaki ku-disclose jinsia yako...)

au anamuiga Konnie?
🙂 hello Paw
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom