Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Kabaki laisi wao tu max.
Hahahahaaa najua hata yeye anajibana sana huko aliko lakini hata asipokuja hapa najua atacoment kimoyomoyo............

Basi Konnie, juzi nikataka kucomment kwenye ile thread yako ya kidumu.....nikaaandika maneno meeengi mara server hii ya ttcl washenzi wale ikakata halafu kumbe ilikuwa haijautosave so bla bla nyiiingi nilizokuwa nimeandika zikapotea khaaa nikaingia na uvivu wa kuandika tena
 
Hebu kamwage utirio sasa hivi bana
usibane ujuzi.

Hahahahaaa najua hata yeye anajibana sana huko aliko lakini hata asipokuja hapa najua atacoment kimoyomoyo............

Basi Konnie, juzi nikataka kucomment kwenye ile thread yako ya kidumu.....nikaaandika maneno meeengi mara server hii ya ttcl washenzi wale ikakata halafu kumbe ilikuwa haijautosave so bla bla nyiiingi nilizokuwa nimeandika zikapotea khaaa nikaingia na uvivu wa kuandika tena
 
Ila tuacheni utani JF ina wanawake wabaya duh mkuu TF si unakumbuka zile.sura zilizowawakilisha wadada wa JF pale british councial siku ile?usikute one of them ndio nanihii
 
duh, mbona umetumia neno kali hivyo.

Ngoja waje leo, utawatambua.

Ngoja nitoe msaada wa kukununulia POP za dharura.

Ila tuacheni utani JF ina wanawake wabaya duh mkuu TF si unakumbuka zile.sura zilizowawakilisha wadada wa JF pale british councial siku ile?usikute one of them ndio nanihii
 
Last edited by a moderator:
Na wewe Lizzy, I wouldn't be surprised if you happen to be of below average physically attractiveness yourself hadi ku-entertain mawazo ya kutongozwa kwa PM.
 
Na wewe Lizzy, I wouldn't be surprised if you happen to be of below average physically attractiveness yourself hadi ku-entertain mawazo ya kutongozwa kwa PM.
Mimi tena....mbona nipo BELOW below avarage...hata sio siri.
 
Nakumbuka ulikuwa unawawjadili kwenye posts zako za updates yaani ukiona avatar zao humu unaweza kuunza nyumba lakini ngoja ukutane nao live! Ila tuacheni utani mie namkubali sana AD yupo juu wajameni

Lol
Mody umeua aisee hadi mi mwenyewe nimeogopa hilo sheshe lijalo...dah
 
Nimepitia karibu posts zote,sijaona jina la "Nitty" au yeye inakuwa vipi? Mabidada wa JF hamkumwona au:..
 
Back
Top Bottom