Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
,kweli JF ni next level sasa hivi.. Hadi man invisible ndani ya chit chat..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Watoto wa baba mmoja tofauti tarehe za kuzaliwa tu"
Hahahahaaa najua hata yeye anajibana sana huko aliko lakini hata asipokuja hapa najua atacoment kimoyomoyo............Kabaki laisi wao tu max.
Hahahahaaa najua hata yeye anajibana sana huko aliko lakini hata asipokuja hapa najua atacoment kimoyomoyo............
Basi Konnie, juzi nikataka kucomment kwenye ile thread yako ya kidumu.....nikaaandika maneno meeengi mara server hii ya ttcl washenzi wale ikakata halafu kumbe ilikuwa haijautosave so bla bla nyiiingi nilizokuwa nimeandika zikapotea khaaa nikaingia na uvivu wa kuandika tena
Hahahaha. Mohammed ShossiIla tuacheni utani JF ina wanawake wabaya duh mkuu TF si unakumbuka zile.sura zilizowawakilisha wadada wa JF pale british councial siku ile?usikute one of them ndio nanihii
Hahahaha. Mohammed Shossi
Ila tuacheni utani JF ina wanawake wabaya duh mkuu TF si unakumbuka zile.sura zilizowawakilisha wadada wa JF pale british councial siku ile?usikute one of them ndio nanihii
Najua sana Saint Ivuga. katika post yangu ya kwanza hii threadMwali anajua nilivyo hot
Erotica wewe ni mkorofi... Lizzy, unaonaje tumchukulie hatua?
Mi kwangu pia nadhani lazima Boflo is hot. Sijui mwasemaje hapa?
Invisible lazima awe kwenye list, he is such a mysterious member. lol
Zaidi ya hao ongezeni Saint Ivuga, he's is hot (smoking hot) lolest
Ila tuacheni utani JF ina wanawake wabaya duh mkuu TF si unakumbuka zile.sura zilizowawakilisha wadada wa JF pale british councial siku ile?usikute one of them ndio nanihii
Nakumbuka ulikuwa unawawjadili kwenye posts zako za updates yaani ukiona avatar zao humu unaweza kuunza nyumba lakini ngoja ukutane nao live! Ila tuacheni utani mie namkubali sana AD yupo juu wajameni