Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora usiseme kitu maana wataniletea nouma................watoto hawa utadhani wamezaliwa siku ya GULIO......!@
Ukope wako tu mkuu Invisible mweeeeeeee!Mh... Hii thread hii....
:shock:
Si unajua tena huwa sikosekani kwenye list :bounce:klorokwini, EMT, Nyani Ngabu, Invisible, TIMING, Mbu, Fang, Cookie, The Boss, gfsonwin, fazaa, Mtambuzi, Bishanga, Mzee Mwanakijiji
The above list is the ones I consider hot and fantasize about. teh teh teh
Wewe Mzee Bishanga wewe Rejao wangu hakuna wa kumchoropoa anayetaka aje tu aunge tela km mchezo ataumudu lol!Si ni rejao tu uliyemchoropoa kwa Cantalisia,au kuna mwingine?
Asante sana Kaka MziziMkavu,
Kwa uchaguzi wala hujakosea atakayebisha akapate uhakia kwa mme wangu Rejao lol!
wewe ni he tena wa ukweli..... ipo proved mbona PAW....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.
Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me PAW wakuu.
Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.
Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me PAW wakuu.
Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.
Mie nakuslimu tu Mkuu PAW....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.
Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me PAW wakuu.
Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.
Nashukuru kwa kuzingatia vigezo na masharti BADILI TABIA,but uwe makini na huyo Mzee Mtambuzi kwana hatabiriki!!!The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
LoLzwewe ni he tena wa ukweli..... ipo proved mbona PAW
Salama mkuu. naona vijana mnakimbiza thread hahaha...Ok Ok mzee wa kurekebisha tabia a.k.a mzee wa nidhamu PAW
Always round mkuu wangu.Mie nakuslimu tu Mkuu PAW
Siku zote nakusiaga hatimaye leo nimekuona lol!
....hahahaha naona wapwa zangu mnanipigisha gwaride kwenye Chit-Chat kila siku sasa.
Funny to read comments zenu. Ila hata sasa sijajua kama mimi ni ke au me maana the way life it is is hard to predict.... Just call me PAW wakuu.
Tupo pamoja and feel safe wakuu wangu.
are u hot PAW ?Always round mkuu wangu.
Ah! I thought hii thread ni ya females zaidi lakini naona all gender wanasaka kitu kimoja HOTMAN...
Nafurahi kusoma comments
mmmh napita tu....
Naomba hadidurejea za huo U-HOT?are u hot PAW ?