gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
na ni mkia upi anaongelea?
As fa as I know, wanyana wengine wanamwogopa binadamu ME kwa mkia kuwa front view.
Ni m(wa)kaka)/m(wa)baba gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao unadhani wanavutia kwa sura (ya kiume lakini. . .FORGET about pretty boys) na mwili unaoeleweka badala ya lijitambi lisilobebeka hata kwa toroli?
Kwa mimi. . . Lawyer klorokwini niliwahi kudhani analipa ila kuja kutahamaki. . . ni mmoja wa vibabu vya humu alafu kitambi tangu utotoni mpaka leo anabeba. Kwahiyo siku hizi naogopa 'kudhani'. . . sitaki kubaki mdomo wazi siku nikukubali kidate kwa PM.
Acha hizo Lizzy mie mbona nina picha yako na Kloro?
Mimi tena....mbona nipo BELOW below avarage...hata sio siri.
Enzi hizo Invisible alikua anajichanganya... Sikuhizi imekuaje jombaa?
Hebu shoga angu nitafsirie alichosema Ngabu hapo juunimekuja mama.
kui hebu kam zisi wey ze needful iz nided.
Nided'nt me?
Mtafute ras simba ndani ya mwezi unaweza kumuhoji hata Clinton [emoji1]Hebu shoga angu nitafsirie alichosema Ngabu hapo juu
Nawe ni wa moto?
Hotint you?Nided'nt me?
Nided'nt me?
Nawe ni wa moto?
Hotint you?
Huwezi amini hata mada sijasoma[emoji85] [emoji85][emoji2] [emoji1] needn't yuu!
Yuu, zei askid mwanaume wa moto, not yuu gels jamani!