Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

na ni mkia upi anaongelea?

As fa as I know, wanyana wengine wanamwogopa binadamu ME kwa mkia kuwa front view.

Sawa lakini mkuu Konnie.. Ule wa front view,hauna karakteristiks za kuitwa mkia... Mkia gani unatoa vimiminika aina aina...?!
Mkia gani usiofukuza inzi?
 
Ni m(wa)kaka)/m(wa)baba gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao unadhani wanavutia kwa sura (ya kiume lakini. . .FORGET about pretty boys) na mwili unaoeleweka badala ya lijitambi lisilobebeka hata kwa toroli?

Kwa mimi. . . Lawyer klorokwini niliwahi kudhani analipa ila kuja kutahamaki. . . ni mmoja wa vibabu vya humu alafu kitambi tangu utotoni mpaka leo anabeba. Kwahiyo siku hizi naogopa 'kudhani'. . . sitaki kubaki mdomo wazi siku nikukubali kidate kwa PM.

Acha hizo Lizzy mie mbona nina picha yako na Kloro?
 

Attachments

  • Screen.jpg
    Screen.jpg
    56.7 KB · Views: 27
Last edited by a moderator:
Mimi tena....mbona nipo BELOW below avarage...hata sio siri.

Maskini. Nakuonea huruma. Hadi kwenda date na complete strangers kupitia PM za JF?! You must be really desperate. Hamna hata vijidume kwenye mtaa/ghorofani unapoishi wakutimizie haja zako?
 
Kumbe mada huwa zinajirudia rudia.

Kama kulivyo duniani, hata JF hakuna jipya kivile.
 
Back
Top Bottom