Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Hehehe. . . .basi mweke Preta badala ya Cookie pale.

Yani hapo ndo ujue umeshaendewa kwa babu. . .lolz
Sijui utasema umeipata wapi!! Hhhmmm. . .kama Mwali atasema sasa. . . .

Mie ninachoshangaa nikiona post ya Cookie napata mshtuko wa kumuona mwanaume sio

mwanamke mwenzangu kama kwa Preta. Preta anaongoza kwa mishtuko kwa wadada.
 
Last edited by a moderator:
hahaha mkuu unataka kuwapiga Ban nini wapumzike? lol
Hao wanafurahia uchumba wangu na Lizzy , andaa mchango wa harusi mkuu, soon tunakuletea kadi
Kloro embu acha hizo. . .
Baada ya kuambiwa na Invi kwamba ni-hot. . .kina nyie siwataki tena. Pesa za mchango wa harusi nachukua. . .tutaonanaga.
 
Last edited by a moderator:
Uwifi ufe tena?
Almanusura nimwagiwe tindikali kwa ajili yako?

Kwani kunani?

Kongosho
Si nashangaa kaka yako anatajwa na wewe unachekelea tu. . .
Bado NAKUKUNDA lakini!
 
Last edited by a moderator:
Mwali tupange mikakati aisee. . Erotica hawezi vamia vamia tu ghafla wakati wengine tunaumia ndani ndani!!

Hahahaha. . . Boflo aisee mi sijui. Ila hao wengine. . .AGREED.


Semeni watu wenu, mimi kitu kama hakina trade mark ya mtu napotea nacho! teh teh teh
 
Mi namuona kama Ricky Martin or Stephen Gately type of hot, if you know what I mean. lol


Haya baba di caprio. Mi hadi nikuone ndio niamini
Halafu nina mashaka wewe ndie kibabu cha Husny

Hahahahaha. . . for real?!Inawezekana lakini aisee, ila binafsi naimagine ka-pretty boy flani hivi.
 
Unichukie una jeuri.

Nimeona imvisibo kakuamkia, umepata mganga mpya siku hizi?

Hebu nipe ujuzi.

Kongosho
Si nashangaa kaka yako anatajwa na wewe unachekelea tu. . .
Bado NAKUKUNDA lakini!
 
Last edited by a moderator:
Semeni watu wenu, mimi kitu kama hakina trade mark ya mtu napotea nacho! teh teh teh

Erotica don't push it. . .
Wengine tuna aibu zetu. . .embu tupe break!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…