Hehehe. . . .basi mweke Preta badala ya Cookie pale.
Yani hapo ndo ujue umeshaendewa kwa babu. . .lolz
Sijui utasema umeipata wapi!! Hhhmmm. . .kama Mwali atasema sasa. . . .
Kloro embu acha hizo. . .hahaha mkuu unataka kuwapiga Ban nini wapumzike? lol
Hao wanafurahia uchumba wangu na Lizzy , andaa mchango wa harusi mkuu, soon tunakuletea kadi
Khaaaa! yaani ulipoona nakaribia kupata mchumba ndio umeona unilipue? Mungu atanilipia bana
Mi namuona kama Ricky Martin or Stephen Gately type of hot, if you know what I mean. lol
Haya baba di caprio. Mi hadi nikuone ndio niamini
Halafu nina mashaka wewe ndie kibabu cha Husny
Ataje Lizzy ambae ana wake. Mi sio wangu nitamtajaje sasa?Semeni watu wenu, mimi kitu kama hakina trade mark ya mtu napotea nacho! teh teh teh
Kiruuu, Yesu na Maria na Yosefu. Eti mai nem iz veri seksii...The Finest, huyu barafu wa moyo wangu..... Asprin, tulizo la moyo wangu Bishanga, kidumu chang kitarajiwa TANMO, jina lake lipo sexy klorokwini, ananiachaga hoi.... Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu.... gamba chovu Mphamvu The Boss...... EMT Memo Invisible bby boy... Buchanan Erickb52 Mbu Saint Ivuga Smiling Saint nitarudi simu imeishiwa chaji
Lizzy tulionana enzi zile sijapata viza ya shekoslovakia na nilikuwa na minyoo , sasa hivi mzembe nina six pack na ukiniona unaweza ukanikonfyuzi na Walcot wa arsenaliDah.....kumbe Kloro....