cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli haikua mimi. [emoji85][emoji85][emoji85]
Ulikua wa alter ego wangu Lizzy![emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli haikua mimi. [emoji85][emoji85][emoji85]
Ulikua wa alter ego wangu Lizzy![emoji16]
🤣🤣🤣🤣Dr Lizzy ulikuwaga moto wa kuotea mbali eti kitambi tokea utotoni mpaka utu uzima bado amekibeba daaah 😆😂
Ruksa ruksa doktaaaaaa 😄
Hata wewe Dr. Eliza nilikuwa na kuchukulia Binti kumbe tayari ni LISHANGAZI.Ni m(wa)kaka)/m(wa)baba gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao unadhani wanavutia kwa sura (ya kiume lakini. . .FORGET about pretty boys) na mwili unaoeleweka badala ya lijitambi lisilobebeka hata kwa toroli?
Kwa mimi. . . Lawyer klorokwini niliwahi kudhani analipa ila kuja kutahamaki. . . ni mmoja wa vibabu vya humu alafu kitambi tangu utotoni mpaka leo anabeba. Kwahiyo siku hizi naogopa 'kudhani'. . . sitaki kubaki mdomo wazi siku nikukubali kidate kwa PM.
Kwani binti anaishia umri gani??Hata wewe Dr. Eliza nilikuwa na kuchukulia Binti kumbe tayari ni LISHANGAZI.
Pamoto humu...
Hao wazee uliowalonda miaka hiyo , kwa Sasa ndio unaendana nao.
You have been missed sana this side as well. M happy I got a glimpse of the old Lizzy (The chakaramu alta ego) 😂Habari ni zile zile Jr...
Mpya ni kwamba you've been missed sana!! Nafurahi kuona bado upo around. 🤗
Lizzy 😁😁😁
Huyo Lizzie inawezekana huwa ana-take over bila sisi wengine kujua .
Nipo mkuuEnzi hizo kabla haujawa Dr ulikuwaga hot sana aisee, ukorofi wa mada, mada tata, na ukorofi wa hapa na pale. Hivi Husinho yuko wapi?
Dada nimekumiss sana mara ya mwisho 2011, pale Sinza Ulikuwa wapi?Nipo mkuu