Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaulizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
 
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili ru lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga iuzungu mwingi, mwisho wa mwezini mwanaume anakwambia weka busy ya budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wanongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaukizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Bilashaka hao ni wasichana wapya kutokea Neptune
 
zvCw1LK.gif
 
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezini mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wanongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaukizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Uko sahihi kabisa.

-Ndumilakuwili-
 
Ni research results au hypothesis

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mmh tunawashukuru kwa wale ambao familia zao ndo priority zao za kwanza, ila kiukweli sio wote. Naona lundo la wanaume wabinafsi linavyozidi kushamiri. Naziona familia nyingi sana ambazo zinateseka au mama ndo amegeuka baba kimajukumu kwa sababu baba ameamua kuinvest kwa vimada na bar. Mungu anawaona
 
Hitimisho lako ni sahihi kabisa. Halafu kitabia Watanzania tunafanana sana na Waghana. Hili ndiyo hitimisho langu kutokana na kuwa na baadhi ya marafiki wa kutoka huko.

Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezini mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wanongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaukizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
 
Mmh kweli sio wote. Naona lundo la wanaume wabinafsi linavyozidi kushamiri. Naziona familia nyingi sana ambazo mama ndo amegeuka baba kimajukumu kwa sababu baba ameamua kuinvest kwa vimada na bar. Mungu anawaona
We angalia hata mada zao humu siku hizi, mara wafundishane namna ya kumchuna mwanamke, mwingine alisema wanawake tujiongeze tulipie mahari!!
Sijui ni malezi ndio tunakosea au shida ni nini!!!
 
Mmh kweli sio wote. Naona lundo la wanaume wabinafsi linavyozidi kushamiri. Naziona familia nyingi sana ambazo mama ndo amegeuka baba kimajukumu kwa sababu baba ameamua kuinvest kwa vimada na bar. Mungu anawaona
Wa hivyo wapo tunawaona ila huwa wanasikitisha sana,
Yaan mtu anasubiria mafao ndiyo akajenge hii ni aibu sana kwa mwanaume 45years upo nyumba ya kupanga!
 
Wa hivyo wapo tunawaona ila huwa wanasikitisha sana,
Yaan mtu anasubiria mafao ndiyo akajenge hii ni aibu sana kwa mwanaume 45years upo nyumba ya kupanga!
Ni hali ya maisha tu lakini nyumba ya kupanga siyo ya kukaa kwa muda mrefu mkuu. Ninakumbuka mshkaji wa karibu alifiwa na mama yake mwenye nyumba alikataza matanga ilibidi tulilie hospitali
 
Back
Top Bottom