MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Mmh tunawashukuru kwa wale ambao familia zao ndo priority zao za kwanza, ila kiukweli sio wote. Naona lundo la wanaume wabinafsi linavyozidi kushamiri. Naziona familia nyingi sana ambazo mama ndo amegeuka baba kimajukumu kwa sababu baba ameamua kuinvest kwa vimada na bar. Mungu anawaona
hata sina la kusema ! nisije haribu uzi wa watu!