Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Hahahaah sky umenivunja mbavu eti anatembea na remote duhhhhhhhhhhh!!! [emoji10] [emoji10] [emoji10] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Thanks

Cc Smart911
 
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaulizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.

Ubarikiwe kututia moyo
 
Hahahaah sky umenivunja mbavu eti anatembea na remote duhhhhhhhhhhh!!! [emoji10] [emoji10] [emoji10] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Thanks

Cc Smart911
Kuna watu wana roho mbaya wewe.
 
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaulizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Duh! Tunakushukru, ila ngoja tusubiri matokeo zaidi.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.

Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.

Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.

Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaulizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Naam
 
Back
Top Bottom