Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kweli kabisa ndugu yangu. Kuolewa na mume mbinafsi mmmhunajua ukijijua wewe una tabia za kimakinikia(za ubinafsi) ni bora ujikubali tu km huyo mkaka! binafs nampongeza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa ndugu yangu. Kuolewa na mume mbinafsi mmmhunajua ukijijua wewe una tabia za kimakinikia(za ubinafsi) ni bora ujikubali tu km huyo mkaka! binafs nampongeza!
Sawa mamyHawa wapuuzi tuwapeleke jandoni wakafunzwe jinsi ya kutunza familia
Haya mambo ya kuinvest kwa ki mada sikubukiishiwa kumdai huweziMmh tunawashukuru kwa wale ambao familia zao ndo priority zao za kwanza, ila kiukweli sio wote. Naona lundo la wanaume wabinafsi linavyozidi kushamiri. Naziona familia nyingi sana ambazo zinateseka au mama ndo amegeuka baba kimajukumu kwa sababu baba ameamua kuinvest kwa vimada na bar. Mungu anawaona
Limbwata at work[emoji4] [emoji4] [emoji4]Kama mtu anaishi nyumba ya kupanga ila still anaitunza familia yake kadri ya uwezo wake, huyu anaweza kueleweka. Maybe maisha hayajawa smooth kwake kihivyo kwake au maybe kipato kikubwa anakitumia kwenye kuinvest kwenye elimu ya watoto wake na welfare nyingine, bado utegemezi wa wazazi, ndugu jamaa na marafiki.... Angalau he is responsible, inaeleweka japo ndo hivyo tena
Hapa tunamsemea mtu mwenye kipato lakini hajali familia. Nyumbani watoto hawapati lishe bora ila baba kajaza fridge kwa mchepuko. Nyumba inapokaa familia imechokaaa ila baba kashusha mjengo kwa kimada, kama sio kuweka heshima bar. Wababa wengine wanajijali tu wao mmh, watoto wanaishi maisha as if baba hayupo kabisa khaa. Aliyezishika fahamu za watu hawa, Mungu anawaona.
Nitakuombea, thamani yako ni kubwa sana, na huyo bwashe anatakiwa kuitambua pia.hope 'umeniombea'!
Limbwata si mnaendaga kulitafuta wenyewe na kuhangaika kwenu. Mfyuuu zenuLimbwata at work[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Eeh ni vizuri tu mdogo angu, kaa hivyo hivyo
Wanachopewa wahengaUnaniita mimi mdogo wako, unataka kuninyima nini ;-) Heaven Sent
50/50Kutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.
Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.
Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.
Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaulizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Ha ha ujana maji ya moto. Finali uzeeni[emoji23]Utakuwa mpweke na mwenye huzuni sana uzeeni
Kuna magroup ya whatsapp yana haribu dada zetu. Huko wanafundishana mbinu za kumkamata mwanaume asitoke awe kama zuzu. Lakini mungu anawaona.Limbwata si mnaendaga kulitafuta wenyewe na kuhangaika kwenu. Mfyuuu zenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaniita mimi mdogo wako, unataka kuninyima nini ;-) Heaven Sent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh huyu wangu atakua foreigner basi...
love thé love or hâte thé love.....
Mmmh huyu wangu atakua foreigner basi...
love thé love or hâte thé love.....