Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi makaka wa JF ninawapenda hata socks zikinuka ninawaeleza
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilishaambiwa zinanuka za huyo niliye nae si za kwao
Ok mkuu
Asante kwa kutupenda. Na mimi nakupenda.Mimi ninawapenda sana kaka zangu wa kibongo
Ni research results au hypothesis
Post sent using JamiiForums mobile app
Mada hadhimu kabisa... binafc yangu nimeona kwa daddy angu mlevi lakin hasahau majukumu yake..R.I.P. my daddy.. pia cjawah kuwaza kuish au kuolewa na Taifa tofaut most of men iz selfish!
Post sent using JamiiForums mobile app
Yamekuwa hayo kaka?inategemea na njia iliyotumika. kama ni induction basi ni results zilizopelekea kutengeneza hypothesis, na kama ni deduction basi inaanza hypothesis then results ambazo kazi yake kubwa ni ku-verify au ku-falsify hypothesis au model au theory. Halafu ukumbuke induction haina generalisation kwenye population wakati deduction ina generalisation kwenye population kwa kupitia sample. Population amekwisha isema yaani features zake.
Sasa je swali lako ni kutaka kujua kama ni verified hypothesis au formulated hypothesis ambayo inahitaji data nyingine ili ku-support au la?
Au unataka kumtisha [HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG] na terminologies za scientific research? Kwa kifupi [HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG] anasema research yake ni exploratory na imepelekea kutengeneza hiyo hypothesis ingawaje inaonesha amefanya nyingi kiasi kwamba ana-confirm hiyo hypothesis. Lakini simwekei maneno mdomoni na kwenye mind yake.
Wewe ni wa kipekeeKutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.
Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.
Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.
Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaukizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Yamekuwa hayo kaka?
Bora ata umetukumbukaKutokana na uzoefu wangu hapa duniani nimegundua kuwa wanaume wa ki-Tanzania wana jua majukumu yao. Wanahakikisha mambo ya nyumbani yametulia kabla hawajaanza kujifikiria wenyewe.
Si ajabu kumkuta mwanaume ana suruali moja au mbili tu lakini anajenga nyumba na watoto wanakwenda shule.
Nchi hizi za jirani zetu zenye kuiga uzungu mwingi, mwisho wa mwezi mwanaume anakwambia weka sehemu mchango wako wa budget mezani kabla hujaenda saloon. Nimeshuhudia mume akitembea na remote control kwenye brief case kisa mke hakuchangia LUKU.
Wanaume wengine wanaokaribiana na wabongo kwa kutunza wanawake ni wa Ghana. Hawa mshahara wako hutaukizwa unakwenda wapi lakini siku mkitoka usimtie aibu mbele ya rafiki zake eti umevaa dera la elfu tano.
Eeh ni vizuri tu mdogo angu, kaa hivyo hivyoMimi kwa upande wangu kifedha najiweza ila sipendi majukumu, so kuja kuoa na kupata watoto sitaki Sky Eclat espy Heaven Sent
Eeh ni vizuri tu mdogo angu, kaa hivyo hivyo