Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye wake tulieni na wake zenu, kuhangaika ndo kunawaponza.Kuna magroup ya whatsapp yana haribu dada zetu. Huko wanafundishana mbinu za kumkamata mwanaume asitoke awe kama zuzu. Lakini mungu anawaona.
Hakuna mwanaume anaenda kutafuta limbwata. Ila dada zetu wa dangaji ndo chanzo. Unaweza fall in love kwa mtu asie sahihi. Cha muhimu ni kuomba mungu akupe macho ya rohoni
Haha nimecheka kama mazuri jamani lolMmmh huyu wangu atakua foreigner basi...
love thé love or hâte thé love.....
hivi nchi nyingine zinatumia LUKU?
daaah umejuajeeeeeee...., thanks for appreciation.
Afu akina nanihii punguzeni magezeti leo...
habari ya leouna hamu...
Nakuombea mpendwahahaha mama mchungaji NIOMBEE
Ana moyo wa kupondeka, basi tuIt's mrs again! [emoji1]
Anaonekana mvumilivu sana..
It's mrs again! [emoji1]
Anaonekana mvumilivu sana..
najiulizaga navumilia ili nije nivumbue nn?kweli huenda nimelogwa !chaa!