Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Nashukuru Mkuu kwa hili
you want one brother?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mkuu kwa hili
you want one brother?
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!
endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...
mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..
hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..
How is she? her education level?Yaap! I hv one from there bt we still investigate one another....you wanna send me one?
Infact we knew each other recently.
Hamkawii kugecha
How is she? her education level?
lets start there, i can help u in that CID segment. lol
ha ha haaa
Kuchange ni kutoa damu... KIFO hichohahahaaa!
mzaramo na kigodoro!
In-born characters are hard to change.
kweli mkuu. Kumnyima mkurya panga ni sawa na kumwambia mzaramo akome kucheza minanda and the alike..Kuchange ni kutoa damu... KIFO hicho
I hv inboxed u,check in ua pm corner..
oko.... abhakoli moni abhalu muno! teh...
Otea mkuu kablia gani hili...
cc Molembe, charminglady, KATASAN'KAZA
bhayo na abhana bha weto..:becky:
Hiyo inakuwa hivi kuna wamama watu wazima na wabibi wengi wao hawakubahatika kuwa na watoto. Sasa kama kuna kasichana anaenda kukachumbia kwa wazazi wake, ng'ombe zinamtoka kwa mahari hapo.
Ili familia iendelee yule binti ataruhusiwa kuzaa na mwanaume ila akijulikana bibi ndio mume na ndio mtunza familia. hope umenipata my wii mtarajiwa.
Mhhh kuna kaka m1 mkurya anani-approach,yani kila nikiwaza kabila lake naahirisha hata kupokea simu yake,Mungu aniepushie mbali vipigo
Bha mura bha weto amang'ana? Excel usitumie nguvu nyingi walionasa kwa vijana wa kikirya watasema
ah,binadamu hukosea sasa cna imani kama wanaelewa hlo hawa watu!!.me nimechanganyika mkurya na mchagga,bt kuolewa tarime aiseeh hapana.
Tata wanee..ntabharujirii..oni tiga nigende okumrimi.