Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

eyeyeyeee!unaleta uteam nanihii eh!ntataja mie aafu waione wadau.

Oooops!!!! Sina maana hiyoo. Leo nakupitia nasikia ile njia ya kwenda kwenu imefunguliwa hakuna foleni tena.
 
Hahahhaha hapa nimebanwa inabidi tu niwatetee kaka zangu wakurya, jamani wadada wote mkitokewa na wakurya kubalini wanajua kucare sana.
Wa mjini hawapigi ila nyie hampendi kuonyeshwa kama mnapendwa?
Zaidi kaka zangu wakurya ni mahandsome acha kabisa.


ha ha ha ha ha!!!!!! safi sana Bantu lady unajua matumizi ya lugha ya picha, nimewafahamu wakurya siku za karibuni tu lakini uongo dhambi sijawahi onana na mkurya mrembo wala mkurya handsome, ila nilokutana nao wale wa kiume ni wazuri kuliko wale wa kike..
 
Oooops!!!! Sina maana hiyoo. Leo nakupitia nasikia ile njia ya kwenda kwenu imefunguliwa hakuna foleni tena.
njøo kimya kimya baba Ghati akikuona mi simo tena ukifika nisubiri pale dukani kwa mangi ntajifa naenda kununua kiberiti.
 
Mi naamini Mda ukifika ntapata mke ambaye hataangalia kabila yangu Bali ataniangalia Mimi so kuwa mkurya wala bado hakuniathiri kuwa Mimi coz wakati mwingine watu wanajitahidi kuwa wasivyo ili kuwapendeza watu which is difficult just be yourself na Kama kupendwa upendwe Kama wewe na Sio mtu mwingine.
 
ha ha ha ha ha!!!!!! safi sana Bantu lady unajua matumizi ya lugha ya picha, nimewafahamu wakurya siku za karibuni tu lakini uongo dhambi sijawahi onana na mkurya mrembo wala mkurya handsome, ila nilokutana nao wale wa kiume ni wazuri kuliko wale wa kike..

Duh wewe naona unakutana cjui wa wapi japo kila kabila lina watu hawana sura za kuvutia sikatai.
Wengine sisi labda kwaajili ya kuchanganya makabila, kama mimi watu hukataa kama ni mkurya nashangaa nani aliwaambia wakurya ni wabaya hahhahaaa.
Wanaume wetu ni mahandsome nashukuru hata wewe umelikubali.
 
yani wifi mi ndo maini yamekatika kabisaa.

Wifi wasikutishe hao wanaowasema ni wale wa kijijini, ila tuliozaliwa mjini huku hayo tunayasikia tu kama wengine.
Hebu ongea vizuri na kaka Molembe.
 
Duh wewe naona unakutana cjui wa wapi japo kila kabila lina watu hawana sura za kuvutia sikatai.
Wengine sisi labda kwaajili ya kuchanganya makabila, kama mimi watu hukataa kama ni mkurya nashangaa nani aliwaambia wakurya ni wabaya hahhahaaa.
Wanaume wetu ni mahandsome nashukuru hata wewe umelikubali.


hata mie najua kuwa umechanganya damu ndo mana ukawa na umbile asili la kiafrika, ila ungelikuwa mkurya pure maaweee hatunaga haja ya kuuliza yaani ukikatiza tu lazima tutambue we mkurya,hawa wakurya nimekutana nao mikoa mitatu tofauti hakuna mkurya handsome Bantu lady..
 
jamani ukiwa msukuma ndo habari ya mjini tunajua kuhonga
 
Wifi wasikutishe hao wanaowasema ni wale wa kijijini, ila tuliozaliwa mjini huku hayo tunayasikia tu kama wengine. Hebu ongea vizuri na kaka Molembe.
ndo najitahidi hapa nione itakuaje atii.
 
ndoa za kikurya they are the strong marriage than all, reseach has shown. amang'ana mogaka?
 
ndoa za kikurya they are the strong marriage than all, reseach has shown. amang'ana mogaka?

True wakurya tuna strong marriage coz mwanamke anatambua wajibu wake kwa mume,na kwa kuongezea kupeana talaka ni ngumu.
 
Wakurya n wababe kwa ujumla,wanapiga sio tu wanawake,hata wanaume,wanaume wa makabila mengne huwaogopa pia wakurya,wakurya ni vidume mtaani,wanaogopwa na jinsia zote,wakurya oyeeeeeeee!

Pili,tabia ya kupiga wanawake haiko kwa wakurya tu,ni tabia ya mtu binafsi,cric brown alimtwanga rihana wima wima hadharan kwan nae n mkurya?

Mwisho,am proud kuwa mkurya,wanawake n kitu kngne,usipokua makin ataku........!na huo ujinga ndio wakurya hatuintatein!

Maybe huyo cris brown chimbuko lake ni mkurya pia
 
Back
Top Bottom