Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

mmh mi bure siwataki, hawatabiriki hao kama hali ya hewa ya dar mara mvua mara jua, utajikuta siku kakuwekea mzigo wa fimbo chini ya kitanda unachapwa weee akitoka hapo anamuambia mama Roche mimi nakupenda sana!! siwezi mwanzangu
 
Hao ngumi kuachaaa!!labda kama sio wakuryaa nakuambiaaa
 
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!

Wanajituma sana kitandani. Wanasugua sana mwanamke mpaka chini kuna waka. Na nademu wa kibogo bila kumpiga goli 13 kwa usiku mmoja dharau nyingi sana.
 
Wanajua kutunza ndio maana wanashobokewa
Nawajua kupenda na wana mapenzi ya dhati
 
Mabinti wengi Gold diggers tu hakuna mapenzi hapo wala mtalimbo wa 12inch!!!!
 
Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.

1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)
 
Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.

1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)

:doh: :doh: :doh:
 
Wakurya ni kati ya jamii yenye wanaume jasiri, wachapa kazi wenye nguvu, hawana uoga kiasi kwamba wamejazana jeshin na hao ndio wanaume wenye kumvutia wanawake wengi na mwanamke atatoa penzi la kweli so nyie wote mnaoshindia vyepe yai na mapowder yenu mna kazi sana mkae mkijua wanawake zenu wanazipenda pesa zenu tu na sio ninyi
 
Wanaume wa kikurya hawana unafiki kwenye Mapenzi. Wakipenda wamependa wakitema wanakutema jumla na kichapo juu. Pili wana wivu sana na nyumba ndogo, nyumba ndogo inatunzwa zaidi kuliko kwa bi. mkubwa(wa ndoa).

wa
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!
 
Wanaume wa kikurya hawana unafiki kwenye Mapenzi. Wakipenda wamependa wakitema wanakutema jumla na kichapo juu. Pili wana wivu sana na nyumba ndogo, nyumba ndogo inatunzwa zaidi kuliko kwa bi. mkubwa(wa ndoa).

wa
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!
 
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!

Cc umukagame
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom