rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
We mrefu lakini?
Yapyap! kwetu mbegu ndefu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mrefu lakini?
Ha! Mkuu Unasafiri hadi kijiji kwa sababu ya ngoma?haha aaa....ni kweli, yaani haya mambo ya kufurahi siwezi kuya acha, japo siku hizi huku dar hawaruhusu, tunasafiri hadi vijijini kwetu kufurahi
Mbona baby wangu mluguru,
-tall
-hansome
-msomi
-caring
-romantic
-anajua kuvaa
- msafiiiiii
ooohhh dear God thank u, sina cha kukupa. Asante wewe mama mluguru kwa kunizalia sabuni ya roho.
Mbona baby wangu mluguru,
-tall
-hansome
-msomi
-caring
-romantic
-anajua kuvaa
- msafiiiiii
ooohhh dear God thank u, sina cha kukupa. Asante wewe mama mluguru kwa kunizalia sabuni ya roho.
Et wanasema Ufupi thio hojaTatizo lenu ni wafupi mno hafu waswahili MNA vijiba vya roho na wanaume wafupi kutembea nao aibu tupu
Kwan yule aliyekuanzishia timbwili ni mluguru kumbe?Yaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
Uko matombo?Waluguru ni watu makini na hawana shida ndogo ndogo tofauti na watu wa kaskazini ambao huko kwao njaa kali kazi kukimbilia morogoro na kulia lia njaa. Tumewafadhili sana humu Moro lakini hatimaye mnaleta madharau. Kweli Mfadhili Mbuzi Binadamu hutamuweza....
Haaaaaahh haaaahhh...! Moyo wangu tembea na yule[emoji445]Njoo kwangu mie napenda wafupii...
wanaume wa kiluguru vifupi vina gubu haha kumbe wapo wenye sifa zote hizo?if you are having such a man,you should love him truly.you seem to be a nice woman,your man should be proud of you
very sweet love words,I wish ungekuwa baby wangu[/QUOTE
ahaaaa wewe muluguru nini??? Ni kweli mna gubu? Afu mko vifupi?
Mm nishapata, kajaribu tuluguru twenzako tufupi twenye gubu, omba mungu atakupa hitaji lako.
Hahaha,Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
kuwa muwazi basi mfupi wapi kwenda juu au kwenda chini ili tujue...Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
Hahaha! Kila Ukisomacho JF Ukikiweka Kichwani utaishi Maisha Magumu SanaTatizo lenu ni wafupi mno hafu waswahili MNA vijiba vya roho na wanaume wafupi kutembea nao aibu tupu