Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Watu wafupi watahesabiwa wawili kwa 1 katika sensa.
Maana hawajakamilika
 
Oa kwenu achana na majitu ambayo hayakupendi

Wasichana wa kwenu ni wazuri and they deserve respect and love from you

Unakimbilia hao unaoona wa "maana" wa huko kaskazini sijui Kusini,sijui west halafu dada zako wanaokupenda of which you share ancestors and culture waolewe na nani?

Huoni kama wewe ndio baguzi namba moja kwa kubagua dada zako wa damu kabisa?

Human beings tend to see external discrimination hawaoni internal discrimination wanayofanya wao!

Hypocrites!
 
Waluguru Hatuboi
Aisee Kwanza nipo kwenu uku Ila waluguru mnanishangaza snaa Kwanza roho yenu ya kazopata sijui Nani kawarithisha, wavivu wabishi kwenu dar ndyo kila kitu na hamkai ata mwaka miaka miwili mmerudi kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…