BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Wee Unataka Kuwachanganya Na Yule Uliesema Anafanya Mpka Inawaka Moto..[emoji3] [emoji3] !!!!
Huyu Mboga Gani Na Yule Mboga Gani?Kubadilisha mboga
Kwani wenye vimdomomdomo ni wanaume wakilugulu tu??.Mna midomo sana wanaume wa kirugulu n vimo vyenu hamtuliz vikojoleo kabsaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kazi ipo si ndiyojob is available
Arooo wanaume wa kiruguru achaaa ni midomo gubu yaan unakosea kdogo atakaa wiki amefura kama kifutu anaongea anamezameza maneno kama anapoza tonge la ugal mdomoniKwani wenye vimdomomdomo ni wanaume wakilugulu tu??.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Yamoyoni yamekukaa hapaKama Warefu dili si muwale basi. Inaboa sana aisee. Kila kitu urefu urefuu. Ndo nini huo urefu na wengi ni wachovu tu tunawajua
Pesa siyoKuna Vitu Huwa Vinamfanya Mwanaume Kuheshimika Siku Zote Na Popote Na Bila Kujali Ufupi. Labda Kma Umevikosa!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Njini agoha, barabara ja lami majumba apandiana pandiana,
Naskia mnaogopa sana kuvuka barabara ndio maana mjini mko wachache
Kha!kha!kha!,duh!!,mwanangu umewapania kwelikweli.Arooo wanaume wa kiruguru achaaa ni midomo gubu yaan unakosea kdogo atakaa wiki amefura kama kifutu anaongea anamezameza maneno kama anapoza tonge la ugal mdomoni
Yaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyumakha!kha!kha!,duh!!,mwanangu umewapania kwelikweli.
Hahahaahah[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Tatizo lenu ni wafupi mno hafu waswahili MNA vijiba vya roho na wanaume wafupi kutembea nao aibu tupu
Hahaaha dahArooo wanaume wa kiruguru achaaa ni midomo gubu yaan unakosea kdogo atakaa wiki amefura kama kifutu anaongea anamezameza maneno kama anapoza tonge la ugal mdomoni
Kawapania kwa kweli.... Ebu tuwasubiri waje maana wakifika tu hapakai humu ndani..... [emoji125] [emoji125] [emoji125]napita tukha!kha!kha!,duh!!,mwanangu umewapania kwelikweli.
Yaani kawapania hadi nimeanza kuwaonea huruma,maana mwanaume kusutwa noma.Kawapania kwa kweli.... Ebu tuwasubiri waje maana wakifika tu hapakai humu ndani..... [emoji125] [emoji125] [emoji125]napita tu
Hahaaha ila kuna ukweli eti eeeee [emoji85] [emoji85]Yaani kawapania hadi nimeanza kuwaonea huruma,maana mwanaume kusutwa noma.