Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Umenikumbusha HG wangu alikuwa ananichekesha jana eti ukiwa mnene huwezi kupata kazi Tigo...kwi kwi kwi...
Wanataka ma model....
Nikamwambia umejuaje...akasema nitafutie mfanyakazi wa Tigo mnene...
Hapo tulikuwa tuna discuss kwa nini baadhi ya television bongo zina watangazaji wasio na mvuto kabisa unlike za nje ya nchi...
 
Heri ya Pasaka kwa Waluguru woteeee.
 
Watu wafupi mna matatizo sana haijalishi kabila kwanza ni wabishi hamjiamini mnaongea sana wababe wapenda fujo wachokozi ili hali nguvu hamna mna akili fupi kama yalivyo maumbile yenu
 
Tatizo lenu ni wafupi mno hafu waswahili MNA vijiba vya roho na wanaume wafupi kutembea nao aibu tupu
Makabila yote yenye uswahili uswahili na maneno meengi na vigodoro na ngoma ngoma za mara kwa mara kwanza ni vigumu kuendelea halafu wanawaboa wanawake kwa vijimaneno vyao,kufuatiliana na mipasho. Hata mwanaume anakuwa kama wa kike.

Kuna tofauti kubwa sana ya Mwanaume wa Arusha,Kilimanjaro & Manyara na hao wenye uswahili mwingi sio kwa kimo tu.
 
Waluguru ni watu makini na hawana shida ndogo ndogo tofauti na watu wa kaskazini ambao huko kwao njaa kali kazi kukimbilia morogoro na kulia lia njaa. Tumewafadhili sana humu Moro lakini hatimaye mnaleta madharau. Kweli Mfadhili Mbuzi Binadamu hutamuweza....
Acha Mipasho hiyo mtoto wa kiume.
 
Yaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
hahahahahaha..... yaani Mkuu unanifurahisha sanaa!! unavyo wasimanga nahisi wakiona post zako watazipitia mbali kabisaaa!!!
 
dharau haina maana lkn,.....
amdharauye mwinzie hana akili kabisa,........
kuna mmoja anaitwa chumvi
 
Karibuni Mgeta mje kula Pasaka
 
Wapi papa SEMBUCHE na pande morogoro. Umenikumbusha jitu moja la miraba minne lifupi alinitesa sana pale SUA
 
Wapi papa SEMBUCHE na pande morogoro. Umenikumbusha jitu moja la miraba minne lifupi alinitesa sana pale SUA
Sembuche sio mluguru ni mkaguru wa gairo ila wazaz wake walihamia , Turiani kijiji cha kigugu ,

Ndiko anakoishi sasa amestaafu kufundisha Mathematics SUA, huyu Mzee ni kichwa balaa wa hesabu
 
Kama Warefu dili si muwale basi. Inaboa sana aisee. Kila kitu urefu urefuu. Ndo nini huo urefu na wengi ni wachovu tu tunawajua
Hahahaa, omg...nimecheka...mbona una hasira lakini...vipi how tall are you?
 
Back
Top Bottom