Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Tuma picha tuone kimo chako,labda wanakusingizia ww sio mfupi.
 
Makabila yote yenye uswahili uswahili na maneno meengi na vigodoro na ngoma ngoma za mara kwa mara kwanza ni vigumu kuendelea halafu wanawaboa wanawake kwa vijimaneno vyao,kufuatiliana na mipasho. Hata mwanaume anakuwa kama wa kike.

Kuna tofauti kubwa sana ya Mwanaume wa Arusha,Kilimanjaro & Manyara na hao wenye uswahili mwingi sio kwa kimo tu.
Uko sahihi kabisa
 
Anko mloka mnapanda sana milima tatizo mwweeeee.mna roho ya kotsopata, kotsojidai
 
Waluguru tunajua kutunza wake zetu oVA
 
Tunajua mapenzi na watundu sana kitandani Tunajigijigi kwa style ambayo mwanadada yeyote lazima afike kileleni
 
Pia maumbile yetu ya ndani yana urefu na UNENE wa kutosha kufurahia tendo
 
Watu wafupi mna matatizo sana ni wabishi wakorofi ili hali nguvu hamna mnaongea kama kasuku hamtaki kushindwa na mna akili fupi kama mlivyo
 
6x6 Tupo vizuri hilo halihitaji mjadala wa kitaifa
 
Tupo fit na wepesi kitandani
 
hivi labda mie sijamuelewa... ni ufupi wa nini hasa.....kimo cha nini?
 
Back
Top Bottom