Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

Kuna mmoja anakaa mitaa ya survey amekaa kama demu nahis wahuni wanampelekea moto huko DAWASCO/Saudia
 
NI haki ya kikatiba kutodharauliana
 
Lazima mdharaulike sana tu kwa mambo yenu ya ajabu ajabu UMBEA UMBEA na KUTOKUJIAMINI kwenu.
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Hawa jamaa ni wavivu cjawai ona....wao wanapenda misaada tu...hata aone kemikali inadondokea machoni hawez funga jicho kwa uvivu.
 
Yaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
Daaah...inatosha mama la mama

[emoji86]
 
Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
heheheyaaa
 
Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
kumbee ndo maana kila siku nina ugomvi na baba chanja......... mfyuuuuu
 
Waluguru tupewe heshima yetu
 
Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
Hahahahaaaa..........[emoji31] [emoji31]
 
Arooo wanaume wa kiruguru achaaa ni midomo gubu yaan unakosea kdogo atakaa wiki amefura kama kifutu anaongea anamezameza maneno kama anapoza tonge la ugal mdomoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una uzoefu nao hawa watu inaonekana.
 
Tatizo lenu wavivu kufanya kazi mmewekeza kwenye mapenzi ndoa hamziwezi wamama ndo viongozi was family
 
Back
Top Bottom