Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata uchi nao mfupiKama Warefu dili si muwale basi. Inaboa sana aisee. Kila kitu urefu urefuu. Ndo nini huo urefu na wengi ni wachovu tu tunawajua
Hawa jamaa ni wavivu cjawai ona....wao wanapenda misaada tu...hata aone kemikali inadondokea machoni hawez funga jicho kwa uvivu.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Punguza kuongea ukweliYaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
Daaah...inatosha mama la mamaYaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
heheheyaaaImekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
kumbee ndo maana kila siku nina ugomvi na baba chanja......... mfyuuuuuImekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
Mwenyw nakuunga mkono[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan hawa jamaa ukibishana nao unaeza lazwa Hosp kbsviluguru vifupi, vibishi halafu vina majungu na fitna kama jecha
Hahahahaaaa..........[emoji31] [emoji31]Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa kanda ya kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi WALUGURU eti kisa KIMO/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru umepata mume. Jambo hili la dharau halivumiliki hata kidogo maana hakuna aliyetaka kuzaliwa MFUPI.
HESHIMA HAIUZWI, Tuheshimiane tafadhali.
NB: Mkuu wa Mkoa (Mpya) tafadhali lizungumzie hili kwenye vikao vyenu ngazi za juu. Sio kukagua silaha tu. Linatuumiza sana kuliko hizo bunduki mnazotaka kukagua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una uzoefu nao hawa watu inaonekana.Arooo wanaume wa kiruguru achaaa ni midomo gubu yaan unakosea kdogo atakaa wiki amefura kama kifutu anaongea anamezameza maneno kama anapoza tonge la ugal mdomoni
Hahahaaa. ....watazaa vich*pi , maana wenyewe ni vimini tayari.Watazaa vimini