Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,899
Reaction score
3,688
Niaje wazeiyaaah...

EBANA SAWA :
Mnajua nini mazee????
Nilikua najua kuwa ni wanawake wa jijini pekee ndio hushoboka wakiona mwanaume yupo ndan ya ndinga...

Kumbe aisee mikoani ndio balaa sasa..

Yaan baada ya kuzungukia hutu tumitaa twa hapa wanapaita jiji la Mwanza, karibu kila sehem napoenda...
Mabinti wanaonekana kupagawa na ndinga hii nayotembelea...

Asubuhi kidogo niondoke na mdada wa kibanda cha M-PESA pale buzuruga... Badala ya kunihudumia anashangaa jinsi nilivo smart na usafiri wa kueleweka huku nikitoa cm kali ya ki Engineer wakat natuma pesa kwa maza...

Haya mchana nikazama pande za pasiansi kule, nikazama hotel moja kupata lunch...
Wakat natoka cjui ni twanafunz tule, tunani kodolea macho hadi nasepa...

Maskin wangelijua kuwa gari yenyewe sio mali yangu, ni mali ya kampuni jaman...

Mkitaka kushangaa mkoko wangu ombeni ruhusa kwa baba zenu, kaka zenu na waume zenu mje dar nitawaonesha...

Wanaume wa mikoani waambieni wanawake wenu waache ushamba bana.... Masuala ya kuwashobokea wanaume wanaotoka jijini kuja mikoani sio issue wala nini...

Ngoja niteleze pande za nyegezi.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Niaje wazeiyaaah...

EBANA SAWA :
Mnajua nini mazee????
Nilikua najua kuwa ni wanawake wa jijini pekee ndio hushoboka wakiona mwanaume yupo ndan ya ndinga...

Kumbe aisee mikoani ndio balaa sasa..

Yaan baada ya kuzungukia hutu tumitaa twa hapa wanapaita jiji la Mwanza, karibu kila sehem napoenda...
Mabinti wanaonekana kupagawa na ndinga hii nayotembelea...

Asubuhi kidogo niondoke na mdada wa kibanda cha M-PESA pale buzuruga... Badala ya kunihudumia anashangaa jinsi nilivo smart na usafiri wa kueleweka huku nikitoa cm kali ya ki Engineer wakat natuma pesa kwa maza...

Haya mchana nikazama pande za pasiansi kule, nikazama hotel moja kupata lunch...
Wakat natoka cjui ni twanafunz tule, tunani kodolea macho hadi nasepa...

Maskin wangelijua kuwa gari yenyewe sio mali yangu, ni mali ya kampuni jaman...

Mkitaka kushangaa mkoko wangu ombeni ruhusa kwa baba zenu, kaka zenu na waume zenu mje dar nitawaonesha...

Wanaume wa mikoani waambieni wanawake wenu waache ushamba bana.... Masuala ya kuwashobokea wanaume wanaotoka jijini kuja mikoani sio issue wala nini...

Ngoja niteleze pande za nyegezi.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng

loooo...hatuna shobo na magari kaka eee...tunashobo na wanaume wanaojitambua ,marijali na wenye hofu ya Mungu,,na upendo ...gari litaharibika lakini upendo uko palepale...nashoboka na hao,,,kwangu gari si kitu hata kidogo ...ila SHIKAMOONI MAINJIA WOTE NDIO TABIA ZENU MKIWA NA NDINGA HAMTULII KILA DAKIKA MNATAKA MUWE NJIANI MZURURE WEEEE....
 
Hapo inaonyesha wewe ndio mshamba ulijuaje kama mwanafunzi anakukodolea macho kama si mlikuwa mnakoleana kwa jinsi ilivyo wewe mshamba mpenda sifa

Tuheshimiane aisee...
Wapi na lini ulisikia mwanaume kumkodolea macho mwanamke ni ushamba...
Huo ni Urijali mzee....

Na bahat yenu demu wangu hamumfikii hata robo...
Ningewabanjua kishenz mabinti wa Mwanza.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
ha ha haaa! pole sana kaka....umejiroga mwenyewe.....dunia inakuendesha bila kujijua.But one day yes....utajua tyuu.
 
ha ha haaa! pole sana kaka....umejiroga mwenyewe.....dunia inakuendesha bila kujijua.But one day yes....utajua tyuu.

Una BWABWAJA tu maneno. Hata hueleweki.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Back
Top Bottom