Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Msimshangaee kwani kwa mjibu wa watafit wa magonjwa ya akili dar ndo inaongoza kuwa na machizi wengi anawezakuwa kachizika huyu
 
Watu wa dsm hawa wanaokula mahindi ya kuchoma natumia chumvi na pilipili hawawezi kuwa........m...b..a Dada zetu wakawafikisha mwisho hawa naamini hilo ila xx Dada zao tunawaweza mpaka wanakomaaaa
 
Eti mnaoishi Dar kuna simu za kiinjinia?
Nauliza tu mana mimi wa mkoani.
 
Tatizo hawa wanaume wa dar ani swagger zao huwezi kumtofautisha huyu Me au Ke Ndio Maana wale vijana cjui PANYA ROAD wakilianzisha Yupo radhi akimbie hata mkewe mjamzito akamuacha!!!
 
Ngoja hata mimi nitoke Kagera na Gari langu hadi Malimbe, na nyegezi nione kama watashoboka na hii ya kwangu mi nitawaonyesha mpaka kadi yangu ya uumiliki
 
Tatizo hawa wanaume wa dar ani swagger zao huwezi kumtofautisha huyu Me au Ke Ndio Maana wale vijana cjui PANYA ROAD wakilianzisha Yupo radhi akimbie hata mkewe mjamzito akamuacha!!!


Acheni USHAMBA...
Nyie ni washamba, na MADEM zenu pia washamba..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Eti mnaoishi Dar kuna simu za kiinjinia?
Nauliza tu mana mimi wa mkoani.

Swali linalohusu engineering waulize ma Engineer..
Sio kila mtu unamparamia tu.. Hii ni Professional mama....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Watu wa dsm hawa wanaokula mahindi ya kuchoma natumia chumvi na pilipili hawawezi kuwa........m...b..a Dada zetu wakawafikisha mwisho hawa naamini hilo ila xx Dada zao tunawaweza mpaka wanakomaaaa

Sawa.
Lakin acheni USHAMBA sasa..
Muwaambie na MADEM zenu pia waache USHAMBA...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
we injinia wa minara ya simu acha mbwe mbwe, nadhani utakua unatoka kule kwenye tetemeko wewe


DOGO.
Mi natoka jiji la Makonda mzee....
Kule madem wajanja, sio washamba kama huku mikoani...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Huyu hajui hata tofauti ya mkoa na jiji.

Mwanza nalo ni jiji kumbe?????

DAAAAAAH....

Jiji gani madem washamba, wanaume washamba, tugari tubaya tubaya tuu, vidaladala mgongo wa kobe.....

Njooni mshangae maghorofa ya kinondon, ilala, posta, masaki, manzese na ubungo.

Ngoja kwanza.... Mnapajua ubungo nyie???

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Back
Top Bottom