Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Mwanamke mmoja wa Mwanza si anawavuruga kabisa wanaume 70 wa Dsm?


HATA hueleweki...
Mwanamke anawavurugaje wanaume yaan...
Kwa nguvu za kulima, mvuto wa kimahaba au ushamba wa kushobokea wanaume wa jijini....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Msimshangaee kwani kwa mjibu wa watafit wa magonjwa ya akili dar ndo inaongoza kuwa na machizi wengi anawezakuwa kachizika huyu


Chizi naendesha gari toka jijini mpaka mikoani huku peke yangu????
Nimefikaje fikaje mzee.....

Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani bana.. Mtajanjaruka lini mazee....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Hawajafungua tu chuo.. sijui anasoma au ndo waliokosa sifa za kujiungaa..


POVU la nini bana...

Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani na MADEM zenu waambieni waache ushamba...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Njoo nyegezi weekend carwash kwa wajanja , niuone huo unaosifia ni mkoko, mwanza hii!!! Gari gani hiyo haijawahi onekana? From hammer to Corolla.

Hiyo car wash iko chocho gani hapa Nyegezi????
Naona tu Noah Noah tu hapa....
Ona, ka pajero ka 1978 kaleeee... Kanapita.

Dah, yaan mikoani washamba kishenz...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Mkuu yani afadhali wawe washambaaa hivyohivyoo ndo Salama yao na ya wapenzi wao, hats kuvaa hawajui, wanashangaa shangaa, ukinunua vitu kutoka kwao wanakuamkia "shkamoo baba"" yani wakija gundua vituu haoo asee wewe ndo utakuwa mshamba twice and twice
 
Wavalisheni madira.
Huku tunawaita malayoni


Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani....
Nyie washamba, madem zenu washamba, nani sasa wa kumuongoza mwenzie????

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Acha tu, Dar kuna mpaka micharuko ya kiume.


Micharuko ya kiume inayo shobokewa na MADEM wa mikoani....
Na mna bahati demu wangu namuheshim...
Ningeli wabanjua hawa madem zenu cjui cjui zenu kishenz

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Wewe ndyo itakuwa unawashobokea,, unapata wapi muda wa kundesha gari na kuangalia wanao kutamani.....


Mtu akiwa anaku shobokea si unamuona tuu???
Kurembua kwenyewe hawajui, pamba hawajui kuvaa wakat hapa Mwanza nasikia mnalima sana pamba..... Nywele hawajui kusuka, yaan wapo wapo tuuu kama cjui manini vile!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Tuheshimiane aisee...
Wapi na lini ulisikia mwanaume kumkodolea macho mwanamke ni ushamba...
Huo ni Urijali mzee....

Na bahat yenu demu wangu hamumfikii hata robo...
Ningewabanjua kishenz mabinti wa Mwanza.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Engenieer unazurura mitaani badala ya kufanya kazi we we ni jipu hata kampuni yako jipu wanampa mtu kazi kama wewe
1476221643270.jpg
Demu wangu huyo hawezi lingana nawako ila hatujisifu watu tumetembea nchi 46 duniani hatusemi sasa wewe mwanza tu unapiga makelele dawa yenu scorpion
 
Engenieer unazurura mitaani badala ya kufanya kazi we we ni jipu hata kampuni yako jipu wanampa mtu kazi kama weweView attachment 416415 Demu wangu huyo hawezi lingana nawako ila hatujisifu watu tumetembea nchi 46 duniani hatusemi sasa wewe mwanza tu unapiga makelele dawa yenu scorpion
Mkuu wala usihangaike naye,ni kawaida ya debe tupu haliachi kuvuma
 
Naloli... Abhandu bhikuswighisya!!!!!


Masuala ya kutukanana mama zetu sio issue wala nini...
Namie nitawatukana kwa KIZUNGU hapa, maana nyie washamba hamjui kiingereza....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Sawa.
Lakin acheni USHAMBA sasa..
Muwaambie na MADEM zenu pia waache USHAMBA...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
mademu zetu siyo washamba mkuu engineer inaonekana we ndo ulikuwa unawazimikia hawa watoto wa ziwa si unawajua watoto wakula fishi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom