souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,098
Ndo mwandiko wa kiinjinia huoDaaah, hii ni changamoto kwa kweli, huo mwandiko ni wako au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mwandiko wa kiinjinia huoDaaah, hii ni changamoto kwa kweli, huo mwandiko ni wako au
mademu zetu siyo washamba mkuu engineer inaonekana we ndo ulikuwa unawazimikia hawa watoto wa ziwa si unawajua watoto wakula fishi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Utakuwa unawajulia kweli hao mainjiniaNdo mwandiko wa kiinjinia huo
Halafu sehemu alizotembelea eti Buzuruga mara Pasiansi halafu anaiponda Mwanza, ana gari gani ya ajabu huyu!!!!!Njoo nyegezi weekend carwash kwa wajanja , niuone huo unaosifia ni mkoko, mwanza hii!!! Gari gani hiyo haijawahi onekana? From hammer to Corolla.
Unapenda eeSisi tunajua ukiwa na boy mwenye ka usafiri una hakika wa kwenda kwenye starehe ki urahisi yaani utakunywa,utagegedwa,home utarudishwa.
hatari sanaloooo...hatuna shobo na magari kaka eee...tunashobo na wanaume wanaojitambua ,marijali na wenye hofu ya Mungu,,na upendo ...gari litaharibika lakini upendo uko palepale...nashoboka na hao,,,kwangu gari si kitu hata kidogo ...ila SHIKAMOONI MAINJIA WOTE NDIO TABIA ZENU MKIWA NA NDINGA HAMTULII KILA DAKIKA MNATAKA MUWE NJIANI MZURURE WEEEE....
teh tehbabu weee utukome, hatushoboki na gari. Halafu sisi sio washamba. Hatushoboki na wanaume wa dar. Kwenda zako huko.
Yaani hata wewe grand (ma,pa) ni wa kuniambia hivi kweli? haya utakuja Arusha tu weweShika jembe ingia kichakani.