Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

huyu demu jirani yangu ,afu wa kawaida sana yani.
 
Kazi unayoo..iv hawajaanza pre form one?[emoji57]
 
Chief anaropoka kama Rais Magufuli

Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho siwezi kukulaumu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nyambafu kabisa wewe wiki ijayo nakuja dar naanza na mkeo sijui nako utazidi kutusema ambao mnatuita wa mikoani?. Najua dar umelowea baada ya shule na sina imani kama uinjinia ulimaliza kama si kuolewa na wazaramo(watani zangu) maana watoto wa kike wa kizaramo wnatabia za kuoa watu kama nyie. Jiandae kisaikolojia nakuja maalumu kwa mkeo tena kwa baiskeli.
 
Wewe ni muongo!
 
kolo ni kolo tu hata aweje!

kuna kampuni gani yenye ndinga ya kufanya watu wa mwanza wakushobokee?

Ndinga kali zote ni zile wanazotembelea watu binafsi sasa kampuni tangu lini ikawa na ndinga kali?

Vx , V8 ni ndinga kali lakini ukitembelea mtu hawezi kukushangaa coz ni ndinga fln ambazo ni common , sasa wewe kijana mtanashati wa dar hata sijui ulikuwa unatumia gari gani mpaka watu wakushangae
 
Gari ya mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…