Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Huko aliko ishaisha...anatafuta pengine SAA hii...Si bora hata angekopa akanywe bia tu kuliko kubet. Sasa baada ya kubet akishaliwa ndo anapotea mazima. Watu wangejua tunapata hela kwa shida na sisi wangekua hawakopi halafu wanaturusha. Ila jasho la mtu haliendi bure mama. Mjanja yeye ila Mungu yupo