Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjini pagumu jamani!!mpk wakaka wanadangaa!!kumbe hana duka wala kioski!!
 
Asee mimi sijawahi mkopa mwanamke pesa.

Dah! kwanza sijui nitaanzaje aise! Sjalelewa kiivyo kabisa.

Huwa nawakopesha wanawake zingine wanarudisha zingine ndo ivo tena..!! Adi masela pia huwa nawatoa tu.

Sasa sijui ndo kuhonga uko...
Hauhongi unakopesha na Mimi ntakuja unikopeshe kama laki hivi ila sitakulipa [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjini pagumu jamani!!mpk wakaka wanadangaa!!kumbe hana duka wala kioski!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa nguvuuu...kiduka utakuta kimejaa maji ya uhai tuu na sayona,.halafu unajikua mtaani au jf supanyota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…