Wanaume wa siku hizi hamjiamini

Mkuu umekosea kidogo takwimu. Mwanamke asiyesaliti ni mmoja kati ya elfu moja.

Maofisini, masokini, ufukweni, maharusini, kwenye vikoba, misibani, women gallas (e.g superwomen Galla), n.k kote huko wake za watu wanachapwa.
Kweli uko sahihi.
 
Leo ni weekend
Umenikumbusha mbali sana my dear mama mzungu alikuwa ni mama ambaye ngozi yake ni nyeupe ni zeru zeru sasa akaja kuolewa na mwenyekiti wa kijiji chetu sasa akawa ndio wapi kwa nyumba kubwa nzuri sana sasa anawadada wake wote ni weupe wenye maumbo kama yeye mmoja ndio alikuwa karibia awe kama mamayake ila aliolewa mapema kweli sisi bado tupo secondary tukala ubwabwa basi maisha yakaenda . .

Kwa mada hii majibu haya ndio hivi mie sijali wanaume kweli wafanye watakavyoo sijali kwa maana if kama mtu kaolewa aweke nguvu katika familia tosha kama hakuamini basi ili mradi watoto wako wako fresh wanakila wahitaji
 
Wanawake wenyewe mmekuwa malaya tuu na tamaa mbele hamna maana
 

Wanaishi na sisi kwa mashakamashaka ndio maana wanakufa na stress… unakuta ana mwanamke katulia wala hafanyi hayo yote but anamuwazia vibaya
 
Wanaishi na sisi kwa mashakamashaka ndio maana wanakufa na stress… unakuta ana mwanamke katulia wala hafanyi hayo yote but anamuwazia vibaya
Nyie mtulie/muaminike 😃😃 chamuhimu mnatuzalia,kupika na kuosha vyombo tunashukurušŸ™šŸ™
 
Ww sindio yule ulikuja huku unalia lia,
 
Wanaishi na sisi kwa mashakamashaka ndio maana wanakufa na stress… unakuta ana mwanamke katulia wala hafanyi hayo yote but anamuwazia vibaya
Mwite mwambie tu kiustaarabu halafu kana hataki basi mwache akiendelea mwambie katafute ambaye unamwamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…