Wanaume wa siku hizi hawawezi kuongea

Tatizo wengi wenu hamchelewi kulia njaa na ukiona anajibu fresh ujue anataka lunch ..baada ya hapo ahah

Sema niliwai safiri na mtoto mmoja mwanza -moshi kufika moshi ni basi tuu alikuwa anakuja pokelewa ila mtoto alitaka nisugue papuchi[emoji27][emoji27]
 
Siku hizi wanaume shoo imepungua
 
Umenikumbusha kipindi nasoma Moro, nilisafiri kuelekea arusha double sit, nilijikuta nimekaa na demu mmoja wa first year chuo Flani nilikokuwa natinga, nilipomwona tu nikamkumbuka japo pale cumpass alikuwa anagegedwa na mshikaji lkn siku hiyo nikajitoa akili nikarusha mashaili mzee nakwambia ile kufika arusha nilikuwa nimeisha piga vidole vya kutosha viganja vimeisha lowa
 
Hahaha saivi dada angu Kuna wagongaji hapo anasukubiri ujichekeshe akuulize unafikia wapi?akubadilishie ratiba,akupeleke hotelini,apite na wewe mzima mzima..

Zamani story nyingi No impact siku hizi vitoto vipo very strategically havina urafiki wa ukaka na dada sijui mpige story za maisha halafu mbadilishane namba muwe friends hapana kwakweli eti vinaamini urafiki wa kaka na dada Ni gharama eti vizinga unapigwa wewe kula anakula mwingine..

Vitoto vinapanda kwenye gari vinageuka vithaminisha mzigo,unalipa? hapana,Je haya ndo mambo yangu?hapana,basi vinasalimia vinachukua earphone vinasikiliza mziki hadi Mwisho wa safari...Ni vihuniiiiiiiiiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanawake wa zamani hawakua wajuaji kama wasasa. Nyie kila kitu mnajua mtu akiongea kidogo mshadakia mnajua kila kitu nitakwambia nini.

Kuna demu nilisafifiri naye kutoka Dar kuja Mbeya kiukweli yule dada kajaaliwa sura mpaka shepu. Tukaanza kupiga story nikaona mtu anachangamka kweli namimi ndio story ninazo ila tatizo ni mjuaji balaa nikileta story kidogo keshaleta habari za Dubai, SA na Egypt. Najitahidi kumuhamisha mtu kakomaa na story za mbele tu. Sisemi ni vibaya ila huko mimi sijawahi kufika kwa vyovyote story lazima itabase upande mmoja so nikawa nakomaa tuongelee mambo ya bongo naona mtu ye habari nyingine. Nikaona asinitie uchizi nikachukua kitabu nikaanza kusoma kuanza kuongea tena tulipokaribia Uyole.
 
Kabla sijasafiri lazima nihakikishe nina earphones na nyimbo za kutosha sababu sipendi kuangalia bongo movie wanazoziweka
 
Nice guys talk much nonsense, sometimes pretend to be busy with their phones... Bad boys talk less and sometimes seduce or flirt and even acting gentleman to win your heart.... all these depend on how you treat him. All are possible and its your choice according to your need.

Gracias...
 
Huwa siwaachi salaama viumbe vinavyoitwa me

Nilishawahi mtongoza mama mmoja nilikaa nae siti moja kutoka dar mpka mwanza nilimpa pumz kutoka ubongo mpaka kibaha baada ya hapo akaomba kukaa dirishan nikampisha akakaaa bila tabu mpka tunafika Moro teyar bby nyng za kutosha haswa umri wake ulikuwa 40plus na alikuwa na Mr wake mumewe alikaaa siti za nyuma ya gar kwahyo ikawa mm ndio Mr na mbili

Nilishuka usagara siku iliyofuata alisumbua balaaa nikaona isiwe tabu nikapita naeee
 
Acheni Nyodo na kuomba hela kiboya. Mm nikikutana na mwanamke hata Salamu sitoi maana najua hamna agenda nyingine zaidi ya pesa. Sasa hivi nipo na watatu tuuwananitoa Jasho. Kila ukigeuka huku ni vizinga mwanzo mwisho
 
Kumbe madem wanapendaga kuongeleshwa sasa mbona tukianza kuwasalimia mara mjifanya hamjasikia hamjibu? Pia acheni dharau kikawaida anaesalimia ni aliemkuta mwenzie hapo inakua afadhali sasa unakuta mwana amekaa wewe unakuja zako kwenye siti unajikausha kama umeona gogo basi unaendelea zako ila madem wa mikoani wapo poa sana sio kama wa daslama huko unapewa hai unatia gia namba moja namba mbili na matarakimuu juu...
 
Tunaanzisha story mpaka mkishatoka kula lunch kwa wale tunaosafiri mkoani shida njaa zenu Kali sana
 

Post ndefu halafu imeisha kijinga.
 
Mwanamke aliyevaa wigi,mikope ya mchina na kajichora tattoo sitofungua domo langu kimsemesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…