wanatamani kuandamana yanii.😅Ungesubiri hata Giza liingie ndio uachie hili Bomu😂😂😂😂😂😂.
Ona sasa wanavyopiga mayowe.
Lea watoto wako...wake hivyo..unaangiaka Nini.Kuna kitu kinakuja akilini lakini nakizuia Ila mwisho was siku ngoja nikiseme. Ila hii ni kwa mtazamo wangu.
Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika Kama mtoa mada hapo juu lakini wanasahau kuwa hapo zamani yawezekana mama zetu nao walikukutana na adha kama hizo lakini kwa kuwa walifudwa kwa Mila nadesturi za kiafrika hawakusema isipokuwa ke &me wa leo kitu kidogo matangazo mtaa mzima.
Tiba ni wwe,wenzako wako sex tunawagonga vizuri tu,Sasa wwe style moja tu Kifo cha Mende inachosha sana hiyo,jaribu kua mbunifu wa ma style mapya! Jaribu hata Popoo kanyea Mwezi uwone mashine inavyo chachamaa!!Katafute tiba
K mkuu, hii ndio tiketi na uhalali wa kufanyiwa kila kitu...Katika haya yote umetaja kritika wewe una nini? Unataka kuingia kwenye uhusiano ukiwa wewe unachangia nini hapo?
Kwamba katika uhusiano huo wewe ulikuwa na nini ya zaida zaidi ya tumbua?Umejileta mwenyewe unataka nichangie nini?
Mwanamke akiwa anavutia hisia za kusex huongezeka maradufu....kinyume chake ka moja kana mtosha[emoji28]1. Mapenzi ya dhati
2. Nguvu za kike
3. Msambwanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora angekutana na wanuka vikwapa kama Beberuu labda angepata kitu anacho kitafuta!!
Actually sihitaji vitu vingi hivi kwa mwanamke.
Ole wako uoe mwanamke mswahili kiasi hiki kama unakitambi utabaki kama miss[emoji28][emoji28][emoji28]Duh we kamama unachamba mbaya aisee
Hajui kuwa wanaume hatupendi mwanamke mwenye mdomo kiasi hikiInasikitisha sana, hivi umekosa kabisa mwanaume wakukupiga maishine ukaridhika, kila siku walialia humu.
Au utakuwa unatatizo mahali ??
Kama ninekuelewa vilePesa hunipi hata kunyundua huwezi pumbavuuu