Wanaume wa siku hizi ni vitukoo

Wanaume wa siku hizi ni vitukoo

Kuna kitu kinakuja akilini lakini nakizuia Ila mwisho was siku ngoja nikiseme. Ila hii ni kwa mtazamo wangu.

Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika Kama mtoa mada hapo juu lakini wanasahau kuwa hapo zamani yawezekana mama zetu nao walikukutana na adha kama hizo lakini kwa kuwa walifudwa kwa Mila nadesturi za kiafrika hawakusema isipokuwa ke &me wa leo kitu kidogo matangazo mtaa mzima.
 
nimeshajua type ya watu unao deal nao, hivi vibishoo vya mjini havijuagi kutyonmba hivyo mbona vumilia tu, vinapenda show-of alafu havina hela vinaish maisha ya kuigizaa
 
Kuna kitu kinakuja akilini lakini nakizuia Ila mwisho was siku ngoja nikiseme. Ila hii ni kwa mtazamo wangu.

Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika Kama mtoa mada hapo juu lakini wanasahau kuwa hapo zamani yawezekana mama zetu nao walikukutana na adha kama hizo lakini kwa kuwa walifudwa kwa Mila nadesturi za kiafrika hawakusema isipokuwa ke &me wa leo kitu kidogo matangazo mtaa mzima.
Lea watoto wako...wake hivyo..unaangiaka Nini.
 
Jaribu kuwa sex utaona Jamaa yako anavyokugonga,na siyo kapanda tu juu ya kiuuno unaanza kueleza matatizo yako ya pesa,ni bora usubiri mpaka ashuke!!
Katafute tiba
 
.
IMG_20200929_062015.jpg
 
Actually sihitaji vitu vingi hivi kwa mwanamke.
Binafsi nahitaji mwanamke mwelewa, anayejua kuwa ninahitaji nini kwake.
Mke anajua wajibu wake kwangu huwa simwachi kama alivyo lazima nibadilishe maisha yake hakika.
Hii hunifanya niwe mchaguzi sana kwa aina ya binti nimtakaye.
Kibaya zaidi ni ngunu sana kumpata lakini ni aina ya wanawake wanaofaa kumfanya malkia japo anaishi bongo iliyojaa shida
 
Inasikitisha sana, hivi umekosa kabisa mwanaume wakukupiga maishine ukaridhika, kila siku walialia humu.
Au utakuwa unatatizo mahali ??
Hajui kuwa wanaume hatupendi mwanamke mwenye mdomo kiasi hiki
 
Tatizo mna mashimo ya MAMBA

Ipo siku kibao kitawageukia tu hamna namna

Time will tell
 
Back
Top Bottom