kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,156
Hahahahahha nacheka lakini naogopa,
Wanaume wa siku hizi ni majanga mashoga zangu unakuta kamwanaume kanajishaua kana jijitutumia kuja kukutongoza cha ajabu unakuta PESA HAKANA ukisema uvumilie hilo pia unakuta MAPENZI YA DHATI HAKANA ukisema potelea mbali wacha nizuge nacho unakuta NGUVU ZA KIUME HAKANA woiiiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngachokaaa
Wanaume wa siku hizi ni majanga mashoga zangu unakuta kamwanaume kanajishaua kana jijitutumia kuja kukutongoza cha ajabu unakuta PESA HAKANA ukisema uvumilie hilo pia unakuta MAPENZI YA DHATI HAKANA ukisema potelea mbali wacha nizuge nacho unakuta NGUVU ZA KIUME HAKANA woiiiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngachokaaa