Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta za kwako achana na za wanaume....Wanapenda kusaidiwa ila hawapo tayari kusaidia wapenzi wao, ni wachoyo, wana roho za korosho.
Wakipata hela wanaenda club kukesha na wanaume wenzao wakinunuliana vinywaji adimu vya bei mbaya huku wanamewatelekeza wapenzi wao.
Wakirudi home hawana hata buku, kisha wanaanza kulialia kwa mademu zao oooh nisaidie laki nimeishiwa mara oooh nipe nauli niwahi kibaruani.
Enyi wanaume ni nani aliyewaroga?
Tatizo sehemu zenu za siri mnachukulia kama bidhaa. Mtadharaulika milele mkiendelea hiviBasi kulala kalale na mwanaume mwezio
Lazima uisumbukie....hakuna vya Bure buree....Hela ya mwanaume tamu
na kweli mnatupigisha sound na round tu mara nije nisikukute mara keshokutwaNa ndiomaana sikuiz tunawazungusha kwaza mpaka mchunike vzr
cha ajabu wa huku ukiwakomalia week washakutanulia😳😂😂 bado kidogo
😊😄😊🤓na kweli mnatupigisha sound na round tu mara nije nisikukute mara keshokutwa
Mstaafu Mimi butua butua sana....mwaka Jana Nika staaafuu.............😂😂😂 soon
Ushaur au ushuziUshauri
Wakike ndio hata hamna sababu ya kupata marafiki wa hiyari wa kiume kwani mnaona ndio Jalala la kutupia mambo yenu yote,hata yasiyo ya lazima,ilimradi mpewe hela zao tu,hata kama Mnazo zenu🏃🏃Wanapenda kusaidiwa ila hawapo tayari kusaidia wapenzi wao, ni wachoyo, wana roho za korosho.
Wakipata hela wanaenda club kukesha na wanaume wenzao wakinunuliana vinywaji adimu vya bei mbaya huku wanamewatelekeza wapenzi wao.
Wakirudi home hawana hata buku, kisha wanaanza kulialia kwa mademu zao oooh nisaidie laki nimeishiwa mara oooh nipe nauli niwahi kibaruani.
Enyi wanaume ni nani aliyewaroga?
Hao ni wanawake madume ya mbegu Hatuna hizo codeWanapenda kusaidiwa ila hawapo tayari kusaidia wapenzi wao, ni wachoyo, wana roho za korosho.
Wakipata hela wanaenda club kukesha na wanaume wenzao wakinunuliana vinywaji adimu vya bei mbaya huku wanamewatelekeza wapenzi wao.
Wakirudi home hawana hata buku, kisha wanaanza kulialia kwa mademu zao oooh nisaidie laki nimeishiwa mara oooh nipe nauli niwahi kibaruani.
Enyi wanaume ni nani aliyewaroga?