Wanaume wachafu msiutumie uchafu wenu kama ndio uanaume

Mwanaume nilazima anuke kibeberu weweeeee na huo ndio uanaumee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usafi ni raha sana,nikipiga jeans yangu ya calvin clein au cardet za pollo,ndani vesti ya Yarrison na shati ya brands kama polo,coctus nk afu mguuni nina buti yangu, ka nivea kwapani
Basi hata kama sina pesa ila huwa najiona maisha nimeyapatia sana
 
Punguza speed basi
Tuanzie hapa

Kwani ukiwa msafi na huna pesa na ukiwa mchafu na pesa umeipata kuna tatizo?
 
Ila usiombe ukakutana na hutu tu madem usajiri no D tunajifanya tusafi nje ila ndani sasa ukikapiga doggy style harufu inayotoka uko pakuchu ni hatari mzee wng kwa hiyo sisi wa kiume tuna uafadhari japo wanapenda kusema tuna nuka pumbu
πŸ˜‚ nimecheka eti namba D, ila yasemekana pakuchu ni kawaida kunuka
 
Huyo wako atakua mgogo ndgu wa jobu
 
Acheni tujipendee wanaume wanaojua kupenda miili yao, wananukia, hata mkituchamba tu apenda starehe, mimi napenda mwanaume smart kila kona.

Ova.
Nimekupa like shoga angu [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Acheni tujipendee wanaume wanaojua kupenda miili yao, wananukia, hata mkituchamba tu apenda starehe, mimi napenda mwanaume smart kila kona.

Ova.
Kila mtu ni smart kutokana na uwezo wake ulipoishia..
 
Mwambie huyo huyo mchumba wako, usichanganye na wengine humu.....kama ni mchafu muelimishi atabadilika
Mimi nawaambia wachafu wote, kuna nyuzi imo humu inauliza eti ni sawa mwanaume kunywa juisi kwa mrija?

Nakemea mambo kama hayo mimi usiseme kama shemeji yako ni mchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…