Wanaume waheshimiwe milele

Huuh Finally some1 from the opposing team has spoken smthng gud abt men...
 
Mkuu ulipima kabla ya...!

Sijawahi kuwa na mienendo ya kando, siwezi kuwa nayo, sitaaweza kuwa nayo.
Nitakuwa muaminifu daima kwa cute b
Mungu nisaidie

Ameeennn....
Kwanza love hamna haja ya kupima sisi tayari tuu damu moja..
 
Last edited by a moderator:
Tafuta mahali uwe unakunywa maziwa fresh kila siku assubuhi na jioni lita moja asubuh na moja jioni kuiweka vzur zaid IQ yako. mpaka January 2016 ntalpa mm
 

Ninakaribia kuamini kuwa wewe ni kati ya wanawake wachache ambao "zinawatosha na kuzidi" Mungu akubariki
 
Amen! At least na sie tumethaminiwa kwa mara nyingine tena humu ndani.God be the Glory
 
Tafuta mahali uwe unakunywa maziwa fresh kila siku assubuhi na jioni lita moja asubuh na moja jioni kuiweka vzur zaid IQ yako. mpaka January 2016 ntalpa mm

Hahhaaaa nshaanza
 

yote hayo uliyoyaandika ni kweli. ila umesahau kujisema kuwa wewe una roho mbaya na huna shukrani. kwa kuwa ukiombwa kitu kimoja tu utamnyima huyo mr sumbai. yaani pamoja na sifa zote hizo akitaka 0713 unamtosa.shabash!!!
 
yote hayo uliyoyaandika ni kweli. ila umesahau kujisema kuwa wewe una roho mbaya na huna shukrani. kwa kuwa ukiombwa kitu kimoja tu utamnyima huyo mr sumbai. yaani pamoja na sifa zote hizo akitaka 0713 unamtosa.shabash!!!

Shindwa na ulegee... sumbai hali najisi haramu kwa kufanya hivyo anamkosea hata mwenyezi Mungu....na vile vile mimi na sumbai tupo kwa malengo ..je ni nani anayeweza kumharibu mama wa watoto wake? kama ninavyo mpikia namfulia nahakikisha kaoga kavaa nguo safi kala chakula safi kalala sehemu safi na yeye hivyo hivyo yupo makini na usalama wa afya yangu
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo huu positive utakuwa na maisha yenye furaha daima
 
tangu naanza kuijua jamii forums leo ndo nimepata mada nzuri sana kuhusu sisi wanaume, ubarikiwe sana cute b. Kuwa na mwanamke anaelitambua hilo ni baraka kubwa sana naimani atakutunza na kukuheshimu ww mwanamume uliemuoa. I hope shem ana enjoy sana na hawez jutia maamuz aliyoyafanya kama uko singo me najitokeza mpenz. Pia kuna wanawake wanahenyeka sana nampenda sana mama yangu mzaz na wengne mungu wape maisha marefu japokua kuna baadhi ya vitu vnanifanya nichukie vischana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…