Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Nipo bro..Teh teh..Kuna watu wanajiteka?Nimeacha mkuu. Umekuwa adimu saana. Ulijiteka au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo bro..Teh teh..Kuna watu wanajiteka?Nimeacha mkuu. Umekuwa adimu saana. Ulijiteka au
Nguvu za mdomoni tu yule..Ni muoga zaidi ya fisiHa ha ha ha na yule alivyo mkorofi hadi naionea huruma hiyo michepuko.
Yeah...Nipo bro..Teh teh..Kuna watu wanajiteka?
Itakuwa hakuamini wewe.Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao
wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.
Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.
Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.
Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.
Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.
Mbona mimi ninazo...sema hujapata encounter mkuuNajaribu kujiuliza ni wanaume wapi sipati jibu..ila kwa kuwa ilikuwa 2015 sawa maana wanaume wa before JIWE and after JIWE ni tofauti kabisa.
HahahhahahahaNajaribu kujiuliza ni wanaume wapi sipati jibu..ila kwa kuwa ilikuwa 2015 sawa maana wanaume wa before JIWE and after JIWE ni tofauti kabisa.
Wamekuwaje tena?Najaribu kujiuliza ni wanaume wapi sipati jibu..ila kwa kuwa ilikuwa 2015 sawa maana wanaume wa before JIWE and after JIWE ni tofauti kabisa.
Umefukua kaburi[emoji23]Asante sana. Sijawahi kutana uzi murua kama huu halafu umetoka kwa Ke.
Umefukua kaburi[emoji23]
He!!kwa nini mkuu?[emoji3][emoji3]nilikuwa napitia nyuzi zako za nyuma. Hii nikaipenda.
He!!kwa nini mkuu?
Ulikuwa unatafuta niniii?[emoji23][emoji23][emoji23]