Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Maya Angelou

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2019
Posts
1,086
Reaction score
2,576
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.

Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.

Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].

Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.

Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.

Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.

Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.

Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.

Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.

UPDATE 1
Imetimia mwezi na week mbili toka zoezi langu,nyumba ina amani sana,yani mwanaume ule ubabe na ukorofi hamna tena ni kama mtu mpya ni full mahaba,mkituona kama teens anyway nimefurahi angalau mambo ya maendeleo yameanza kufanyika,naambiwa kila kitu na access ya pesa ninayo full amani na furaha,nitaendelea kuwajuza hili sakata hadi mwisho.
Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu
 
😂😅 wewe ni mpumbavu mshirikina mchawi tu... Kwa taarifa yako unajichimbia kaburi mwenyew, ndoa utaikosa na maisha utayakosa very soon.

Huwezi kutatua tatizo kwa kutengeneza tatzo... In short umejiharibia maisha japo uñajidanganya eti umepata amani...
 
[emoji23][emoji28] wewe ni mpumbavu mshirikina mchawi tu... Kwa taarifa yako unajichimbia kaburi mwenyew, ndoa utaikosa na maisha utayakosa very soon... Huwezi kutatua tatizo kwa kutengeneza tatzo... In short umejiharibia maisha japo uñajidanganya eti umepata amani...

[emoji28][emoji28][emoji28]usinitishe sitishiki
Ndoa nyingi tu wanawake wanawatuliza wanaume
Wanaume punguzeni umalaya tufanye mambo ya maendeleo
Ndoa siikosi hii hadi kifo kitutenganishe
 
Hatari! Sii mchezo....kumbe mnapenda de liboloz hamtaki kushare🤣🤣🤣🤣

Ila kumfanya mwenzio asidindishe mbele ya mbususu zingine ni roho mbaya. Kwani wee unakosa nini huyo akigegeda mbususu nyingine?
 
So sad sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna otherwise nachanganyikiwa bure.
Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza nimeona m
Njoo nikuchanje chale special, kabla ya kwenda kunyandua anajijuta anajuta huku akikusimulia mipango yake hiyo mibaya, halafu baada ya hapo anampigia mchepuko wake simu, namweleza kuwa hamtaki tena na wamefika mwisho sasa
 
[emoji28][emoji28][emoji28]usinitishe sitishiki
Ndoa nyingi tu wanawake wanawatuliza wanaume
Wanaume punguzeni umalaya tufanye mambo ya maendeleo
Ndoa siikosi hii hadi kifo kitutenganishe
ngoja niandike kwa herufi kubwa HIYO NDOA INAENDA KUFA HATA UMUUE MAMA YAKO HAKUNA NDOA TENA HAPO... JIANDAE KUITWA SINGLE MOTHER SOON... Ushirikina ni kiwango cha mwisho cha upumbav
 
Sitaki kujua sana maisha yenu ya ndoa ila kiufupi wewe na mmeo wote mna matatizo, mmoja ni malaya na mwingine ni mshirikina.

Mathematically: Malaya+Mshirikina=Kizazi cha hovyoo.

REHEMA YA MWENYEZI MUNGU IWE JUU YENU
 
Back
Top Bottom