Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Mkuu ukichofanya fikiria mara mbili. Wife alinifanyia upuuzi kama huo na akajiamini sana na akajisahau kabisa kwa sababu nilikua SINA KAULI kabisa juu yake. Siku yule mzee (mganga wake) alipofariki mambo yakafall apart vibaya sana na sasa ni almost miezi 7 tangia tumeachana NA ANAJUTA SANA SIO KIDOGO. Kama hujui ulichokifanya sio one time ila unatakiwa kurenew from time to time so get prepared usije sema HUKUASWA.
 
Subiri Ndugu yake yeyote agundue halafu amwendee kwa mganga mkali kuliko wako

Mumeo atapona halafu wewe utafia hapo au atakufunga uzazi moja kwa moja

Mchawi wewe
 
Wanaume wengi tu wamebanwa na wamebadilika
Sawa huu uzi upo ntakuja kuweka update sitoona aibu ikitokea hajabadilika
jinsi hela ilivyo ngumu na wanawake wengi wamegeuka professional omba omba kwa mizinga ya hapa na pale ungekuwa wangu ningekuwa nakukumbusha asubuhi kuwa usisahau kuniroga kwa jana nilikuwa na Fatuma nafikiri leo Lilian ananihitaji zaidi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…