Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
- Thread starter
-
- #101
Hiyo nyumba Kwa sasa huna mwanaume Tena.
Wewe ndyo mwanaume fake na yeye mwanamke fake.
Hio no 2 sasa haisaidii nisipompa hicho chakula show si itakuwa ya kawaida
Duu kama ndyo hivi basi tamaa zetu ndyo Mbaya lakini kufikia uamuzi wa kuroga nao sio.Mimi ni mwananaume lakini kusema ukweli wanaume wa Dar wenye wake kuchepuka imekuwa kama utamaduni. Halafu kama una mke na unachepuka nakuhakikishia 100% utakuwa umeshalishwa uchafu mwingi sana ili eti akuvutie kuliko mke wako.
Trapped to a married man
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi. Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway. Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka...www.jamiiforums.com
Duh
Hakuna cha kuliwa ukipuliza tu kitu kinaitika yaani utapigia simu hata mara 1000 chezea kuwekwa kwenye chupa😅😅Bure mnaliwa fedha zenu. Hakuna kitu kama kumfunga mwanaume.
😂😂😂😂 haya sasa upo na mama mkwe mpe jibu kama lilivyo, asipokurudia kukuloga wewe mara kumi basi sio mama wa kiafrica. Kwani kupendwa lazima, ukishindwa kushare sepa.Kasema jamaa anatembeza dudu kwa michepuko balaa,na hataki kushare dudu la yuyu 🤣🤣🤣
Chanzo Cha kuchepuka ni nini?
1 Unamnyima unyumba??
2 Unatumia unyumba kama fimbo ya kumwadhibu??
Matatizo mengi mpaka kafanya hayo yote kwako unakuta umeyasababisha wewe
Unamnyimba haki zake za ndoa alafu unategemea asichepuke akichepuka unamroga.
Na nimetaka iwe hivyo
Kwa sasa mshahara nikabidhiwe mimi ndio mchora ramani zote
Heshima yake kashindwa kuitumia vyema ngoja tuwekane sawa
Bure mnaliwa fedha zenu. Hakuna kitu kama kumfunga mwanaume.
Kwahiyo ukifanya hivyo ndyo unampenda auNa nimetaka iwe hivyo
Kwa sasa mshahara nikabidhiwe mimi ndio mchora ramani zote
Heshima yake kashindwa kuitumia vyema ngoja tuwekane sawa
Akigundua lazima ndoa iende na maji; kuna mchepuko mmoja alinifanyia mauza uza, nikikutana na mwanamke mwingine jogoo hasimami ila nikutana na yeye jogoo anasimama.Hayo ni maneno tu
Inamaana humu Jf nzima hakuna wanaume waliorogwa [emoji23][emoji23][emoji23]wapo wengi sana
Tulieni jamani kama hamtaki mtatulia kwa nguvu
Wamepaniki wakati kuna watu humu washawekwa kwenye chupa .Hayo ni maneno tu
Inamaana humu Jf nzima hakuna wanaume waliorogwa [emoji23][emoji23][emoji23]wapo wengi sana
Tulieni jamani kama hamtaki mtatulia kwa nguvu
Hapo mnaweza kugombana,
Iyumbishe biashara yako kimakusudi, omba mtaji uongezee kwenye biashara yako,
Mwambie unampenda anavyoshiriki kwenye shughuli za biashara yako,
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.
Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.
Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].
Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.
Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.
Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.
Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.
Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.
Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
Mimi ni Mwanaume ndio nakuelekeza jinsi wanaume tulivyo.
Mwanaume ili awe na kiherehere cha ukitombi lazima awe anakula vizuri pili Hana stress za mambo madogo dogo ya kiuchumi.
Kinachomfanya atoke ni kujiona ananguvu za ziada mwilini, pia anahisi Hamu, ashki Kutokana na vyakula anavyokula.
Sasa mpunguzie Ratio ya vyakula hasa vya wanga, kama ugali wa Dona, mihogo, usimpe ndizi pamoja na matikiti, mpunguzie kiwango cha vyakula vyenye zink na potassium.
Maharage weka mbali
Mlishe Wali, mbogamboga, nyama nyekundu, ndizi za kupika, viazi, nyama ya kuku, Samaki.
Kisha ongeza majukumu na gharama za Maisha hapo ndani ya Familia,
Akili ya mwanaume ikiwa na utulivu bila changamoto ni uhakika itawaza ngono tuu
Intimate relationship ni weak yawezekanaSawa,kwakua nampenda hata mimi sijaridhia anipe mshahara wake wote ila kuna mambo namuacha yeye mwenyewe anifanyie bila kutumia nguvu
Mimi ninachotaka ni utulivu na kufanya mambo ya maana sio kila siku ugomvi wa michepuko